The truth about mobile banking in Africa
M-Pesa advert
There has a lot written about mobile payments in Africa, particularly since the success of M-Pesa in Kenya
Mobile banking is certainly a...
SAKIMA ni mjasiriamali anaesambaza tofali na material ya ujenzi. Tofali ni imara wilayani ROMBO, tofali ni imara na zinafikishwa pahala husika kwa wakati bei zetu ni nzuri popote pale ukiona gari...
President Jakaya Kikwete has said more effort is needed to fully tap the country's geographical advantage including Dar es Salaam port services to enhance economic growth.
The president said this...
I want you to pay VERY CLOSE attention to what Im about to say
There isnt much time to act on it, and A LOT of people are about to hear about it
I cant guarantee youll be able to take...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Machi 15, 2011, ametembelea Wizara ya Fedha (Hazina), ikiwa ni mwanzo wa ziara za kutembelea Wizara...
Ndugu wana jamvi,
Kwa mujibu wa tangazo la Precisionair walilotoa katika gazeti la Nipashe la tarehe 10/03/2011, ukurasa wa kwanza, nauli za Dar Mwanza ni shilingi 100,000 (laki moja) kwa ndege...
Juzi nimetembelea kwa mtu,nimekula unga wa dona,ulikuwa mtamu sana,ugali ni ulichanganywa na unga wa muhogo.
nilipo dadisi nikaambiwa kuwa huwa anasaga mahindi mwenyewe (in Dar),nimeongea na...
nataka kuagiza gari japan, ni toyota super custom van 8 seaters ya mwaka 1994. mwenye ufahamu na mambo ya kodi pale bandarini dar tafadhali aning'ate sikio namna itakavyokuwa taxed niangalie mfuko...
I have been working on a number of literal projects in the past few years and I think its about time to get published (fiction works and non fiction). Mojawapo ya mapendekezo ambayo nimepatiwa ni...
Jamani fundi mzuri wa milango ya nyumba anatafutwa kwa kazi ya haraka hapa DSM. Naomba ushauri wenu, anaweza kupatikana wapi? Pia kuna mtu mwenye picha za kazi zake na kama zipo tunaziomba.
Jamani kwa jinsi sukari ilivyokuwa juu hivi juzi juzi limeniijia wazo la ulimaji wa miwa kwa ajili ya sukari je nani anaweza kuniambia gharama za ulimaji wa Hekari moja maeneo ya Coastal au maeneo...
wana Jamii, Mchana huu Mh. Raisi J.K ameingia bandarini kukagua shughuli zina vyoendeshwa.
Wadau tunao shughulika humu ndani tumezuiwa kuingia, mageti yamefungwa kupisha ugeni huo.
Hivi storage...
Wadau mliobobea kwenye sheria za kimataifa na mambo ya bima naombeni msaada. Mimi ni mfanyabiashara wa magari, kwa bahati mbaya siku ya 11/3/11 ambapo tsunami iliyosababishwa na tetemeko la ardhi...
Resouce mobilization
Farming, animal husbandry, fishing business struggle dearly for loans from banks
manufacturing and construction dont have proper financial instruments to maximize their...
tanzania ni moja ya nchi Africa zinazo ongoza kwa ajali kwenye sekta ya ujenzi hasa majengo. Hii inatokana wafanyakazi kutokua na mafunzo hafifu pamoja na kutokua na vifaa vya taaluma hiyo. Ajali...
Turnover toka Ths. 40 millions kwenda Mabilioni
changamoto za vijana kupata mikopo benki
CLOUDS- COOL* LOVEABLE* OUTRAGEOUS* UNIQUE* DYNAMIC* SOUNDS
Entertainment business- Television, RADIO, CONCERTS
vyombo vya habari hivi karibuni vimekunukuu ukishauri kuwa, Tanesco iachane na uzalishaji wa umeme na suala hilo wapewe makampuni ya umma ambayo kwa mujibu wako unaamini yanauwezo wa kufanya hivyo...
Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba...
Hi Members!
I'd be interested to supply schools, especially secondary schools with lab equipments and chemicals that students use in their chemistry lessons. anyone interested especially...
Moja ya vitu ambavyo ni kikwazo kikubwa kwa mtu kufikia mafanikio yake au ndoto na maono WOGA (FEAR FOR CRITICISM) ni namba moja.
Woga ni adui mkubwa sana wa kuifikia ndoto/maono zetu, Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.