kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
wanandugu nimeamua kulima alizeti katika kiwango kidogo (ekari 5) kwa majaribio katika maeneo ya Fukayosi- Bagamoyo. sasa kwa sababu alizeti zina maua mengi naona ni vema niyatumie kwa ajili ya uzalishaji asali pia.
sasa ndugu zangu najua mizinga inapatikana SUA.lakini hapa kwa Dar es salaam unaweza kuipata wapi.. kuna mtu kaniambia SIDO ila sina contacts. naomba mwenye contacts za wapi naweza kupata mizinga ya nyuki pamoja na mtaalamu wa kunielekeza naomba anisaidie.
thanks
sasa ndugu zangu najua mizinga inapatikana SUA.lakini hapa kwa Dar es salaam unaweza kuipata wapi.. kuna mtu kaniambia SIDO ila sina contacts. naomba mwenye contacts za wapi naweza kupata mizinga ya nyuki pamoja na mtaalamu wa kunielekeza naomba anisaidie.
thanks