JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Baada ya mkewe baba John kujifungua alihisi kuwa mkewe amepunguza mapenzi akaamua kutafuta sumu ya kumuua mtoto, akampaka mke wake sumu kwenye manyonyo ili mtoto akinyonya afe, akaondoka zake...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mlevi anafanya sex na mkewe,akamwambia "inakuaje leo maziwa yamekuwa makubwa na ch*ch* hazionekani?" Mke:wewe acha upumbavu unalamba matak* unasema maziwa!!!! Tafakari chukua hatua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mvuta bangi mmoja alimuuliza mdogo wake amezaliwa wapi? akajibiwa hospitali, akauliza tena, ulikuwa mgonjwa? jibu halikupatikana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mke Kanunua line ya airtel amsurprise mumewe. Mume amekaa sitting room, mke akaenda jikoni akampigia mume na number mpya akasema, "hallo darling," mume hakuijua number akajibu kwa sauti ya chini...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Baada ya kufanya karesearch kangu kadogo bado cjapata uhakika kamili kuwa kabila gan linaongoza kuwa Facebook, naomba niskie maoni yako!
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Mke alimwambia mumewe azibe dirisha la chooni kwa kuogopea wanaume wasije wakamchungulia anapooga. Mume akamjibu liache tu wao wenyewe ndio watakao gharamika kuliziba.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii style ya kuuza Juice ikija bongo itakuwaje......najua kuna watu wataacha pombe na kuanza kunywa juice.....
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Basi siku moja massawee na mke walikuwa nyumbani kwao wamekaa sebuleni baada ya masawee kumchukuwa mkewe hospital toka kujifungua mtoto wa kiume. Sasa kuna jirani yake bwna urassa alikuja kumpa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya wiki 2 za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike,vipi maisha ya ndoa?Mtoto akajibu ,Duh mama kama british airways,mama mtu akatoka mpaka Airport,kwenda kangalia ratiba,akakuta kwa wiki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni jana majira ya jioni nikikatiza mitaa ya Msasani, nikakutana na mateja wako wachafu wamekaa kijiweni wakipiga soga. Mara akaijitokeza teja mmoja na kuanza kuniita kwa sauti ya mlegezo sauti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati wa utoto mimi na wenzangu tulipenda sana kucheza mchezo wa kifamilia (ubaba, umama na utoto). Katika mchezo huo tulipendelea kujipa uhusika kwa kufuata jinsia zetu za kweli na kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
:help:ANGEL MEKEL ANAMWAMBIA MOHAMMOD ABBASI TENA FINGA MDOMO TULIKUSAIDIA SANA KUWAPUNGUZA HAWA WAISRAEL UNAFIKIRI KAMA HATUKUWACHOMA KWA GAS MILLIONI SITA LEO SIWANGEKUWA WENGI SANA HATA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bibi na babu walimkuta mjukuu wao yupo nje ya nyumba yao analia. "Unalilia nini mume wangu?" aliuliza bibi kiutani kwa mjukuu wake. "Mama amenipiga, ananionea bure", dogo alijibu huku kilio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa alikaa masaa 4 akitazama cheti chake cha ndoa, mkewe akamuliza mume wng vp leo umekumbuka cku ye2 ya ndoa? Mume akamjibu 'NATAFUTA EXPIRE DATE' siiyoni!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Maisha ya hapa jamvini yamefanana sana na yale maisha ya kwenye jumba la big brother. Kuna Mods wanao tu monitor na hatuna uwezo wa kuwaona, Mods ni kama Big Brother mwenyewe anaye wajua na kuona...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wana Jamvi nilipokuwa napata dinner jioni hii, ghafla Umeme ukakatika. nikakumbuka miaka 11 iliyopita. ilikuwa jioni moja tumekaa mkekani tunajiandaa kula ilikuwa ni ugali na samaki na mchicha...
3 Reactions
74 Replies
6K Views
Wana JF kuna member siku za nyuma alishawahi kuleta thread inayohusu kipindi cha Skonga kinachoonyeshwa EATV (Channel 5) ni kipindi kinachofurahisha, elimisha na kuchangamsha sana naweza...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kama kuna mtu anaweza kunipa pin za hawa watanzania naziomba ninamazungumzo nao nadhani kwa BBM itakuwa ni vizuri zaidi kwa sababu za kiintelijensia. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pd holder ---nil Masters------ 03 Degree-------12 Form vi------79 form iv --------175 Std vi ---------18,006 non................46,899 Nipe tadhimini wakuu wa kazi !kwenu je vp hali ya shule ?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mpelelezi, Polisi na FFU walikuwa wanajisifu mbele ya Rais kila mmoja alijidai yeye ndiye mwenye uwezo wa kumkamata mwalifu kirahisi... basi Rais akasema atawapa mtihani...siku moja akawaita wote...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom