Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
Maisha ya hapa jamvini yamefanana sana na yale maisha ya kwenye jumba la big brother. Kuna Mods wanao tu monitor na hatuna uwezo wa kuwaona, Mods ni kama Big Brother mwenyewe anaye wajua na kuona kila kitu kinachofanywa na membaz.
Kuna kugombana hapa jamvini, kurushiana maneno, na makundi ya kila aina.
Yaani raha kweli, sina hata haja ya kushiriki kwenye hilo shindano la Big Blaza kwa kuwa tayari nimo ndani ya nyumba.
Kuna kugombana hapa jamvini, kurushiana maneno, na makundi ya kila aina.
Yaani raha kweli, sina hata haja ya kushiriki kwenye hilo shindano la Big Blaza kwa kuwa tayari nimo ndani ya nyumba.