Baada ya wiki 2 za harusi

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
644
Baada ya wiki 2 za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike,vipi maisha ya ndoa?Mtoto akajibu ,Duh mama kama british airways,mama mtu akatoka mpaka Airport,kwenda kangalia ratiba,akakuta kwa wiki mara saba(7)na katika kila siku moja(1)inaenda trip tatu(3)na katika kila trip moja(1) inasimama vituo saba(7).Mama mtu pale pale akazimia...............................:majani7::majani7:
 
Baada ya wiki 2 za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike,vipi maisha ya ndoa?Mtoto akajibu ,Duh mama kama british airways,mama mtu akatoka mpaka Airport,kwenda kangalia ratiba,akakuta kwa wiki mara saba(7)na katika kila siku moja(1)inaenda trip tatu(3)na katika kila trip moja(1) inasimama vituo saba(7).Mama mtu pale pale akazimia...............................:majani7::majani7:
sasa anazimia nini? wasafiri wengine, then azimie mwingine,
au alipata mawivu kwani yeye hajawahi kusafiri,
aombe basi na yeye asafiri cku moja tu akasalimie
 
sasa anazimia nini? wasafiri wengine, then azimie mwingine,
au alipata mawivu kwani yeye hajawahi kusafiri,
aombe basi na yeye asafiri cku moja tu akasalimie
Nimependa jinsi ulivyofikiria ( negative side)
 
sasa anazimia nini? wasafiri wengine, then azimie mwingine,
au alipata mawivu kwani yeye hajawahi kusafiri,
aombe basi na yeye asafiri cku moja tu akasalimie
Nimependa hili jb lako....lol..
 
Back
Top Bottom