sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
Baada ya wiki 2 za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike,vipi maisha ya ndoa?Mtoto akajibu ,Duh mama kama british airways,mama mtu akatoka mpaka Airport,kwenda kangalia ratiba,akakuta kwa wiki mara saba(7)na katika kila siku moja(1)inaenda trip tatu(3)na katika kila trip moja(1) inasimama vituo saba(7).Mama mtu pale pale akazimia...............................:majani7::majani7: