Teja mmoja alikuwa na tabia ya kuokoteza vishungi vya sigara(i.e vipande vinavyobaki baada ya sigara kutumika).Kwa Kila vishungi sita(6),teja aliunda sigara nzima moja(1).Siku moja teja aliokota...
As I was going to St Ives
I met a man with seven wives
Each wife had seven sacks
Each sack had seven cats
Each cat had seven kits
Kits, cats, sacks and wives,
How many were going to St Ives?
Jake was dying. His wife sat at the bedside.
He looked up and said weakly:
'I have something I must confess.'
'There's no need to, 'his wife replied...
Jamaa mmoja alimpiga kibao jamaa ana stimu za bangi, jamaa akamuuliza: "umenipiga kikweli au umenitania? akamjibu kikweli, Mla akamwambia: Afadhali kwani mi spendi utani.
Baba mmoja alikuwa na mazoea ya kulala uchi. Siku moja wakati anajiandaa kulala akavua nguo, mara mtoto kaingia chumbani bila hodi. Baba akaona hii noma, ikabidi aufiche u b o o katikati ya...
Jk amekuwa bingwa wa kuwaunganisha watanzania katika mambo ya kijamii.
Amefanikiwa kutembelea hadi gerezani kuona jinsi maisha yalivyo,amehudhuria misiba mingi pengine kuliko rais mwingine...
Shekh yahya na Gwajima nani zaidi
MCHUNGAJI AMPA MASHARTI SHEH YAHAYA-JANUARY 4 ,2010
Siku chache baada ya mtabiri mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahaya Hussein wa Dar es Salaam...
Mlevi mmoja alipita makaburini usiku bahati mbaya kulikuwa na kaburi lililochimbwa hajazikwa mtu, akatumbukia, kila alivyojaribu kutoka ikashindikana, akaamua kulala mule, muda si mrefu akapita...
Jamani duniani kuna watu wa ajabu sana, huwezi amini leo kanisani nilikaa na jamaa mmoja anavuta sigara kanisani bila woga, nilitetemeka nusura niangushe bia yangu....
tangazaji mmoja aliwauliza vijana 2 waliopuliza ganja:
Mtangazaji: Hebu wewe tuambie kuhusu Tz.
No.1: Mimi mshkaji Tz ni mama yangu imenilea na kunikuza.
Mtangazaji: Vizuri, na wewe ndugu tuambie...
Uvimbe kwenye Ubongo :
Daktari: Nasikitika kukwambia una uvimbe kwenye Ubongo.
Masawe: Ndiyo (akaruka kwa furaha)
Daktari: Umenielewa nilichokwambia?
Masawe: Ndiyo nimekuelewa...
Kuku anakula hata kinyesi cha binadamu hata kupelekea usemi ukimchambua kuku huwezi kumla.lakini kwa muonekano tofauti na bata hachezei tope,bata kwa upandewake tope na kunya ovyo ndo jadi,lakini...
John alinunua gari kwa £4000,akaliuza kwa Henry £5000.Akalitamani tena,akalinunua kutoka kwa Henry kwa £6000.Siku za baadaye,akaamua kumuuzia lile gari Jane kwa £7000.Je,John alipata faida ya £...
Sisimizi wawili walikutana na punda wakamwambia tupigane mieleka, punda akawajibu: hivi mnaona mimi mjinga sana, nyinyi wawili mimi mmoja si mtanichangia, kama mnataka tupigane mmoja mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.