Michezo ya Utoto

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Wakati wa utoto mimi na wenzangu tulipenda sana kucheza mchezo wa kifamilia (ubaba, umama na utoto). Katika mchezo huo tulipendelea kujipa uhusika kwa kufuata jinsia zetu za kweli na kwa kuzingatia umri.

Kama wavulana mnakuwa labda wawili na msichana mmoja tu hapo inabidi nafasi ya baba ambayo ilikuwa inapendwa sana ishikwe kwa zamu hivyo mmoja anakuwa jogoo wa kuwika asubuhi ili baba na mama waamke kutoka kwenye kijumba walichojifungia: baadaye naye anakuwa baba na mama anaendelea kuwa mama.

Siku moja mi nilikuwa baba na nikawa na mama kwenye kijumba tunajivinjari kitoto-toto. Ghafla yule mvulana wa nje (jogoo) akawika eti ndo tayari kumekucha mi ntoke ili aje yeye kuwa baba.

Nakumbuka nnlitoka kwa hasila nje na kumweleza jogoo yule kwamba usiku bado na asiendelee kutupigia kelele la sivyo nitamchinja tumle. Yule jogoo aliposikia hivyo alitii na mm nikaendeleza libeneke. Utoto raha sana, sana una kisa chochote cha utoto tuhabarishe hapa.
 
Wakati wa utoto mimi na wenzangu tulipenda sana kucheza mchezo wa kifamilia (ubaba, umama na utoto). Katika mchezo huo tulipendelea kujipa uhusika kwa kufuata jinsia zetu za kweli na kwa kuzingatia umri. Kama wavulana mnakuwa labda wawili na msichana mmoja tu hapo inabidi nafasi ya baba ambayo ilikuwa inapendwa sana ishikwe kwa zamu hivyo mmoja anakuwa jogoo wa kuwika asubuhi ili baba na mama waamke kutoka kwenye kijumba walichojifungia: baadaye naye anakuwa baba na mama anaendelea kuwa mama.
Siku moja mi nilikuwa baba na nikawa na mama kwenye kijumba tunajivinjari kitoto-toto. Ghafla yule mvulana wa nje (jogoo) akawika eti ndo tayari kumekucha mi ntoke ili aje yeye kuwa baba. Nakumbuka nnlitoka kwa hasila nje na kumweleza jogoo yule kwamba usiku bado na asiendelee kutupigia kelele la sivyo nitamchinja tumle. Yule jogoo aliposikia hivyo alitii na mm nikaendeleza libeneke. Utoto raha sana, sana una kisa chochote cha utoto tuhabarishe hapa.



Haaahaaaah mpaka sasa bado unawachimba wenzio bit uendelee kufaid au ilikua utotoni tu?:mwaaah::madgrin:
 
Haaahaaaah mpaka sasa bado unawachimba wenzio bit uendelee kufaid au ilikua utotoni tu?:mwaaah::madgrin:

Sasa hivi nimeamua kuimiliki kabisa kwa vile za kupokezana zimepitwa na wakati!
 
ule mchezo wa kujificha ndo ulikuwa unanikosha sana aka kombolela,wakat wa kujificha nlikuw naenda kujificha na nimpendae vinavyojiri kule ni rahaaa sanaaa
 
He he he umenikumbusha mbali mzee.siku hizi watoto wetu wanataka kuangalia tv au kuchezea kompyuta tu
 
Wakati wa utoto mimi na wenzangu tulipenda sana kucheza mchezo wa kifamilia (ubaba, umama na utoto). Katika mchezo huo tulipendelea kujipa uhusika kwa kufuata jinsia zetu za kweli na kwa kuzingatia umri. Kama wavulana mnakuwa labda wawili na msichana mmoja tu hapo inabidi nafasi ya baba ambayo ilikuwa inapendwa sana ishikwe kwa zamu hivyo mmoja anakuwa jogoo wa kuwika asubuhi ili baba na mama waamke kutoka kwenye kijumba walichojifungia: baadaye naye anakuwa baba na mama anaendelea kuwa mama.
Siku moja mi nilikuwa baba na nikawa na mama kwenye kijumba tunajivinjari kitoto-toto. Ghafla yule mvulana wa nje (jogoo) akawika eti ndo tayari kumekucha mi ntoke ili aje yeye kuwa baba. Nakumbuka nnlitoka kwa hasila nje na kumweleza jogoo yule kwamba usiku bado na asiendelee kutupigia kelele la sivyo nitamchinja tumle. Yule jogoo aliposikia hivyo alitii na mm nikaendeleza libeneke. Utoto raha sana, sana una kisa chochote cha utoto tuhabarishe hapa.



heeeee nikichek mada nikichek avatar dah mi sina mbavu jaman..
 
Duuh umenikumbusha mbali saaanaaa. Nakumbuka katika mchezo wa kibababa na kimaamama si nikajisahau nikavaa chakatinakati cha kibinti cha jirani, weeeeee. Jioni wakati navua nguo nataka kwenda kuoga maza si akaniona nimevaa chakatinakati cha kidemu wacha anishushie mkong'oto wa nguvu sisahau hadi leo.
 
Ni kweli kuwa mashoga wamekuwa wengi kwani watoto hawako active. Wao ni kuangalia cartoon na playstations. Hakuna kupigana, kucheza outdoor, kuwinda, kuendesha matairi, gari za waya etc. Akiguswa au kutukanwa kidogo tu kashakimbilia polisi kuchukua RB.
 
He he he umenikumbusha mbali mzee.siku hizi watoto wetu wanataka kuangalia tv au kuchezea kompyuta tu

Hawa watoto sasa hivi acha tu wachezee kompyuta na tv,maana kivulana cha miaka 7 kikishacheza baba mama na kischana cha miaka 6,kwisha habhari yake,wazazi mtakutana maternal...
 
ole wako ubadilishan tena manake kichapo chake ni cha kisaikolojia zaidi!

Duuh umenikumbusha mbali saaanaaa. Nakumbuka katika mchezo wa kibababa na kimaamama si nikajisahau nikavaa chakatinakati cha kibinti cha jirani, weeeeee. Jioni wakati navua nguo nataka kwenda kuoga maza si akaniona nimevaa chakatinakati cha kidemu wacha anishushie mkong'oto wa nguvu sisahau hadi leo.
 
hapo zamani za utotoni bwana ee! raha tupu! Mungu akiamua ku rewind mkanda, kutakuwa na corrections za ajabu. we utafanya corrections wapi?
 
Back
Top Bottom