Mambo ya kuhama!

Mambo ya kuhama!

Mwalimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
1,600
Reaction score
1,089
Mke Kanunua line ya airtel amsurprise mumewe. Mume amekaa sitting room, mke akaenda jikoni akampigia mume na number mpya akasema, "hallo darling," mume hakuijua number akajibu kwa sauti ya chini, "kata nitakupigia...hii ngombe yangu iko jikoni."



 
Mke Kanunua line ya airtel amsurprise mumewe. Mume amekaa sitting room, mke akaenda jikoni akampigia mume na number mpya akasema, "hallo darling," mume hakuijua number akajibu kwa sauti ya chini, "kata nitakupigia...hii ngombe yangu iko jikoni."




nahisi mke alimkamata jamaa kiulaini kama ananawa...
 
aiseeeee....ehee! alipotokea mamsapu ilikuwaje.......
 
Mke Kanunua line ya airtel amsurprise mumewe. Mume amekaa sitting room, mke akaenda jikoni akampigia mume na number mpya akasema, "hallo darling," mume hakuijua number akajibu kwa sauti ya chini, "kata nitakupigia...hii ngombe yangu iko jikoni."




Mh! Hebu tuelezane vizuri maana kama namfahamu huyo jamaa. Haa haa haaa! Kweli hii kali
 
Kama siyo mwiko,fryingpan itatumika...tuwe waaminifu jamani he he he
 
Back
Top Bottom