JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Siku moja Juan akiwa amebeba mchanga kwa baiskeli,alikamatwa mpakani mwa Mexico na askari wa kuzuia magendo.Wakamwuliza amebeba nini?akajibu;mchanga!.Askari wakaomba kuukagua mzigo,walipocheki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kipofu aliingia restaurant moja ya mtaani. Kufika hapo mhudumu ambaye ndiyo alikuwa mmiliki akafika kumsikiliza huku akimpa menu asome... Jamaa ikabidi amwambie kuwa yeye ni kipofu hivyo ili...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mzungu mmoja alikuwa na mbwa wake aliyempa jina la kutosha, siku moja alipanda treni daraja la tatu huko kenya sasa alipokuwa ndani ya trena jamaa mmoja akapita na chipsi yai na mishikaki kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwendesha pikipiki mmoja alimgonga mwenda kwa miguu mmoja aliyekuwa kabeba mfuko wa rambo.Baada ya kufunga breki,mwendesha pikipiki aliangalia nyuma akamwona yule aliyemgonga kalala chini halafu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
MLEVI mmja alioa mke. Mkewe alikuwa haja2lia hata kidogo.siku moja mkewe akiwa anajivinjari na msela,MLEVI akarud hom. mkew akamwambia yule msela usiondoke,lala hvo hvo huyo mlev...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Moya ni houseboy mweny tabia ya kuiba wine ya boss wake na ksha anaongeza maj..baada ya boss kugundua mchezo anaochezewa aliamua kutega mtego wa kufa m2. Akanunua wine ambayo inabadilika rang...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Maeneo ninayoyajua kwa sasa ni Chako-Ni-Chako bar, Younique Pub, Rose Garden Bar.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Dogo mmoja tangu alipozaliwa hadi umri wa miaka mitano hakuwa anaweza kusema. Siku aliyoanza kusema, alitamka neno moja tu, "Bibi". Siku ile ile, bibi yake akafariki. Sku ya pili akatamka...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kamfumu afumuliwe na kashinde ashinde.
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Jamani wana jf watanzania tumeongezeka pia naomba usafiri wa majini uongezeke ili kupunguza ajali kama hizi juzix2 mv bukoba and now the same problem, same cause. HUU UMASKINI JAMANI.MUNGU...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Kumbe hapo mwanzo watu wote tulikuwa weusi, ila katika ujio wa Mwenyezi mungu alipendezwa watu wote tuwe weupe sasa akaanza mchakato wakutubadilisha watu wa mataifa mbalimbali wakiwemo wazungu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Huwa nawaonea huruma wanafunzi wa vyuo wanaofanya mafunzo kwa vitendo kwenye maofisi yetu! Wakike sasa ndo wanakoma (kutongozwa), midume kutumwa kama ni vibaraka.
1 Reactions
28 Replies
4K Views
jamaa mmoja aliibiwa Poch na buku ten Akaamua kuwakomoa wezi ↲ Jama akawambia wezi oya poa ka mmepanga niibia milion kumbe ni buku ten↲ Wezi katika kugawana mmoja akasema we jamaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa ndoa ya rafiki na jirani yangu iko hati hati ya kuvunjika, kisa jamaa katafuta mke mdogo (ofcourse anasema dini yake inamruhusu). Niliwahi kumwonya mke hakunisikia...kisa jamaa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
wanawapa wanaogombea umiss Tanzania maswali magumu hivyo jamani....no wonder wadada wa watu wameambulia patupu......wangeuliza kama bendera ya tanzania ina rangi ngapi zinapresent nini?LOL
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Harusi ya kukata kwa shoka inafanyika leo Mwanza katika uwanja wa CCM kirumba.Waalikwa zaidi ya 2500 ama zaidi wanataraji kuudhulia,kwaufupu inasemekana itakuwa na-wageni kutoka KenyaUganda,DRC...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Bosi alimuaga mlinzi wake kuwa kesho yake jioni anasafiri kuenda SA. Usiku ule mlinzi akaota kunatokea ajali ya ndege ambayo bosi angesafiri. Asubuhi yake akamjulisha bosi kuhusu ndoto yake ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu mimi ninapenda sana kusikiliza radio,nafikiri umefika wakati tuwapongeze watangazaji wa vipindi mbalimbali wanaojituma kufanya kazi zao kwa bidii na uhakika. Mimi napenda sana wafuatao...
0 Reactions
75 Replies
26K Views
an arab was being interviewed at a US checkpoint...Name plz. "abdul aziz" sex? "six times a week!!!" no, no I mean male or female!."doesn't matter, sometimes even camel!"
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Doctor to his lady patient, "You look terribly weak and exhausted! Are you having your meals three times a day as I have advised?" Lady replied, "Doctor, I thought you said three males a day."
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom