Baada ya Ajali.

Baada ya Ajali.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mwendesha pikipiki mmoja alimgonga mwenda kwa miguu mmoja aliyekuwa kabeba mfuko wa rambo.Baada ya kufunga breki,mwendesha pikipiki aliangalia nyuma akamwona yule aliyemgonga kalala chini halafu utumbo umetapakaa barabarani.Jamaa akajua ameua,akaondoka kwa spidi kali kwenda kujisalimisha kituo cha polisi kuepukana na raia wenye hasira kali.Wakati akiendelea kujieleza kwa polisi wa zamu,mara akaja yule jamaa aliyegongwa akiwa na makovu kibao akasema;"masuala ya ajali ni ya kawaida tu,mi naomba anilipe kilo zangu mbili za utumbo wa ng'ombe zilizomwagika barabarani!"
 
khaa hyo noma au ndo ugum wa maisha hapa bongo?
 
hapa unapisha pikipiki ukidhani umeua..unakufa wewe!!!.
 
dah! nilijuwa ni baada ya ajali kule visiOne umekuja na kinachoendelea! Ok, napita.
 
Lo huyo jamaa atakua ni mlafi wa nyama mbaya
 
Back
Top Bottom