Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Haiti Plus Says Lauren Hill Told Him She Don't Think He Can Make Hits Any More! CLICK THE VID HERE:--->http://www.worldstarhiphop.com/videos/video.php?v=wshhQy1I7TH2jpDVaUsX
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa aliyekuwa kocha msaidizi wa timu kongwe ya soka Tanzania Simba Sports Club, Jamhuri Kiwelo (Julio Alberto) ametimuliwa. Kwa mujibu wa taarifa zilizorushwa hewani na kipindi cha...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari zilizopatikana toka Bukoba zinaeleza kwamba Yanga imeumizwa na Kagera Sukari goli 2 bila majibu. Wakati huo huo habari zinaeleza kuwa nao Simba nao wamelia kwa Azam goli mbili hizo hizo...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Blatter wants foreign owner rules BBC Sports Fifa president Sepp Blatter has called for stricter rules on foreign ownership of clubs in the UK and abroad. "Something has to be done...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aldridge raises Liverpool concern By Russell Barder BBC Sport Aldridge has given his backing to a Liverpool fans bid to takeover the club John Aldridge fears for Liverpool's future...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BARAZA la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) litaishauri na kuunga mkono Tanzania kuwa mwenyeji kwa mara ya kwanza wa Kombe la Afrika kwa wachezaji wasio wakulipwa. Michuano hiyo ambayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imewatimua Ramadhan wasso na Emmanuel gabriel, kisa? wanaihujumu timu
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Watanzania wengi haswa wale wapenzi wa mpira wa miguu haswa kandanda wamekuwa wakijiuliza ni lini wachezaji wetu wataenda kucheza nchi za watu katika ligi mbali mbali za kulipwa ? Jibu hilo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Football Live Channel Siku njema
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TIMU ya taifa ya netiboli Tanzania ‘Ikulu Netball Team’ imeondoka nchini jana kwenda Afrika Kusini kushiriki mashindano ya kusaka viwango kwa timu zitakazoshiriki mashindano ya Kombe la Dunia la...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
AIG is not a US company, 80% of their business is outside. So why is US populace bailing them out? Or if it is such a sweet deal, why doesn't ECB ask for a piece of the action? The stench is...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Chama cha Riadha Tanzania (RT), limesema baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema anataka kusaidia mchezo huo kwa kutafuta kocha wa kigeni, chama hicho kimesema hakitakurupuka badala yake hivi sasa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
TFF hasara mil. 71/- MECHI YA STARS, GHANA na Dina Ismail MECHI ya kirafiki ya kimataifa kati ya timu ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, na Ghana, The Black Stars, iliyopigwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni mara chache watanzania tunapata nafasi ya kushangilia mwana riadha wetu. Jana kwa kushika nafasi ya nne huko Stuttgart umenifanya nipate faraja. Pengine hao viongozi wetu wangewatilia maanani...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Inasikitisha kuona badala ya kuandika na kuzitangaza timu changa zinazofanya vizuri katika Premier Vodacom. Mfano jana KAGERA SUGAR ilicheza na VILLA SQUARD lakini vyombo vya habari havikuipa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hili ni pengo kubwa sana kwa Chelsea, baada ya Mzee Makelele kung'atuka wamebaki wepesi katika viungo-Ulinzi, inabidi kijana Obi Mikel ajikaze sasa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mchezaji mpya wa Timu ya Manchester United Dimitar Berbetov ametakiwa kupunguza kama si kuacha kabisa tabia yake ya uvutaji sigara kama anataka kuendelea kupata namba kwa muda mrefu kwenye kikosi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa wadau wa Tennis..Mambo ndio yanaelekea Ukingoni Huko kwenye US Open bado matop seed wanasumbua kupunguzana ili kijogoo apatikane on sunday 7-9-2008. Mpaka sasa Nadal amesonga mbele Semi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa wapenda soka wote, naanzisha thread hii ili tuwezekupashana na kujadili issue zote za usajili wa msimu ujao, tusijilimit kwenye premier ligue tu, tupeane habari za Serie A, La Liga...
0 Reactions
82 Replies
15K Views
It is the kind of news that would make you choke on your breakfast cereal but, believe it or not, England are champions of the world…albeit in the International Gay and Lesbian Football...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom