Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,855
Ni mara chache watanzania tunapata nafasi ya kushangilia mwana riadha wetu. Jana kwa kushika nafasi ya nne huko Stuttgart umenifanya nipate faraja. Pengine hao viongozi wetu wangewatilia maanani mnaoshindana aibu iliyotukuta Beijing isingetupata. Hongera sana, binti wa Kitanzania. Usikate tamaa na pengine huko LOndon utatuondelea aibu.