Mashine Essien nje kwa miezi mitano au zaidi

Dah. Pole zake. Ingawa mimi sio mshabiki wa Chelsea, lakini its enjoyable to watch Essien enforcing the midfield.
 
Eeeeeee Muumba tunakuomba majeruhi haya yasitokee kwa timu ya Wenger,kwani hata hiyo nafasi ya nne tutaikosa
 
Obi anaweza kusimama kama kiungo mkabaji, pia wanao Lampard na Ballack and DECO!!!
 
Obi anaweza kusimama kama kiungo mkabaji, pia wanao Lampard na Ballack and DECO!!![/QUOTE]

Lampard,Ballack na Deco hawa wote ni attacking midfield na sio deffensive midfield, Essien pia anamudu kucheza nafasi yoyote nyuma kama utakumbuka Terry alipopata majeruhi season ya 06/07 Essien alifiti kama central deffender.
 
Obi anaweza kusimama kama kiungo mkabaji, pia wanao Lampard na Ballack and DECO!!![/QUOTE]

Lampard,Ballack na Deco hawa wote ni attacking midfield na sio deffensive midfield, Essien pia anamudu kucheza nafasi yoyote nyuma kama utakumbuka Terry alipopata majeruhi season ya 06/07 Essien alifiti kama central deffender.
...am Chelsea fan and i admit kuwa this is big blow lakini with those figures Lampard,Ballack,Deco and Obi i believe "The blues will shine"...Bado chelsea itasimama vizuri kwani hata defence line yake iko vizuri na Scolari ata-manouver kulingana na opponent anayekutana nae kwani hata pattern ya mchezo hubadilika kulingana na timu pinzani na mazingira ya mchezo....Get well soon Essien!!!!
 
soka la uingereza nimeishiwa nalo hamu limekaa kibiashara ashara sana hakuna ladha siku hizi.......hivi niliskia yule tajiri alietaka kuinunua Man U na kuigeuza timu ya Basketball iishia wapi?.....

anyway ninavyokumbuka "The Bison" alikuwa kiungo mshambuliaji alipokuwa Bastia na ndio maana alikuwa mfungaji mzuri sana,hata alipoamia Lyon aling'ara sana akiwa nyuma ya mshambuliaji mmoja.

Morinyo ndio aliomgeuza na kuanza kucheza kiungo mkabaji ili Lampard aendelee kumiliki dimba kubwa akiwa nyuma ya washambuliaji wa2.

Maiko ni mchezaji anaemudu nafasi zote kasoro kipa basi kwa uzoefu wangu wa zamani Chelsii anaweza kumiliki nafasi ya kiungo mkabaji ni OBI anakaba,ana nguvu anapasi za uhakika.

mwenye swali?
 
Ni pigo kubwa kwa Blues ESSIEN anaweza cheza full back,central defender,defensive midfielder and attacking midfielder
Huyo Mikel mvuta bangi tu wajiandae kucheza pungufu kwani anacheza rafu bila sababu
 
Ni pigo kubwa kwa Blues ESSIEN anaweza cheza full back,central defender,defensive midfielder and attacking midfielder
Huyo Mikel mvuta bangi tu wajiandae kucheza pungufu kwani anacheza rafu bila sababu

It is big blow for Chelsea fans, thou have a lot of players who can equally cover up ie Fereira, Ivanovic, Alex, Belleti, Ballack and the promising youngster Jimmy Smith, he will be missed as all these are nor Essien...
 
Ni pigo kubwa kwa Blues ESSIEN anaweza cheza full back,central defender,defensive midfielder and attacking midfielder
Huyo Mikel mvuta bangi tu wajiandae kucheza pungufu kwani anacheza rafu bila sababu
ongea kitaalam....kwanini Obi ashindwe nafasi wakati kuna wakati alikuwa anamuweka benchi Makelele....
 
ongea kitaalam....kwanini Obi ashindwe nafasi wakati kuna wakati alikuwa anamuweka benchi Makelele....
Wewe OBI hawezi kumuweka benchi MAKELELE sema umri tu umeeenda
Tatizo la OBI anacheza rafu zisizo na mpango na huwezi kumlinganisha na ESSIEN huyo OBI anaweza kucheza beki? Kafunga magoli 3 tangu aje na huu ni msimu wake wa 3
wakati mwenzie kafunga 38
 
Wewe OBI hawezi kumuweka benchi MAKELELE sema umri tu umeeenda
Tatizo la OBI anacheza rafu zisizo na mpango na huwezi kumlinganisha na ESSIEN huyo OBI anaweza kucheza beki? Kafunga magoli 3 tangu aje na huu ni msimu wake wa 3
wakati mwenzie kafunga 38

Makelele kafunga 2 tu... then whos better?
 
ehh mola weee hebu fanya basi akae nje msimu mzima alafu na kule kwa wenger tuumizie kale ka fabregas tena kwa miezi mi 3..ili tujishindie sie man utd ubingwa wetu by february
 
ehh mola weee hebu fanya basi akae nje msimu mzima alafu na kule kwa wenger tuumizie kale ka fabregas tena kwa miezi mi 3..ili tujishindie sie man utd ubingwa wetu by february

Mkuu mtaalamu kuna dogo Wallcot anatoka cheche! pia VanPersie ameonekana kupoa majeruhi yaliyokuwa yakimsumbua siku nyingi vilevile usimsahau Eduardo ambae anatarajiwa kurudi kabla ya christmas!
 
Mkuu mtaalamu kuna dogo Wallcot anatoka cheche! pia VanPersie ameonekana kupoa majeruhi yaliyokuwa yakimsumbua siku nyingi vilevile usimsahau Eduardo ambae anatarajiwa kurudi kabla ya christmas!

hehehe mie sijaongelea hivyo kwa kutaja majina ya wachezaji tu,i know hao woote wanaweza wakawepo kwenye timu lakini angalia mchango wao yupi ni muhimu zaidi...ila nyie timu yenu uzuri sio hata ya kuogopewa cz ni kawaida yenu kuchemka ikifikia muda flan flan...
 
Wewe OBI hawezi kumuweka benchi MAKELELE sema umri tu umeeenda
Tatizo la OBI anacheza rafu zisizo na mpango na huwezi kumlinganisha na ESSIEN huyo OBI anaweza kucheza beki? Kafunga magoli 3 tangu aje na huu ni msimu wake wa 3
wakati mwenzie kafunga 38

Am just curious....Hivi uyo Makelele ambaye yuko kwenye Debate yenu si ameshakwisha kwenda PSG/Marseille (am nt sure of the two)?

Kwa maoni yangu Makelele is better, tatizo Obi hajakomaa (kiakili0, he normally be fool sometime, akipata kocha mzuri wa kumtuliza atakuja kuwa mzuri zaidi ya hivi tunavyomuona leo. Ni mtizamo tu!
 
hehehe mie sijaongelea hivyo kwa kutaja majina ya wachezaji tu,i know hao woote wanaweza wakawepo kwenye timu lakini angalia mchango wao yupi ni muhimu zaidi...ila nyie timu yenu uzuri sio hata ya kuogopewa cz ni kawaida yenu kuchemka ikifikia muda flan flan...

Uzuri wa timu yetu tofauti na timu yenu munategemea wachezaji wawili watatu, sisi hatutegemei majina, Cesc ni team player kama mwengine yoyote iwe Ade, Rosicky ama Kolo. Sisi tunacheza kitimu, na daima tutacheza entertaining football, Nyinyi United kama Cristiano angelipata majeraha nambie mngemaliza nafasi ya ngapi season ilopita? nadhani ya tano, sisi hatukuwa na Robin ama Dudu kwa kipindi kirefu na ndio sababu tulimaliza vibaya, ama kuchemka kama unavyodai, sasa season hii wako fit plus tuna-unleash young Theo tutaona matokeo, uyo Cesc wakitutangazia dau la kueleweka tutamtoa vilevile, si walikwenda akina Henry na Vieira? Mzee Wenger hawezi kukubali mchezaji yoyote ampandie kichwani,sio nyinyi Cristiano juu ya kukutieni roho na kukwambieni Live hataki timu mumemlazimisha kwa msimu mmoja!! tuone season hii kama ata-perfom kama mwaka jana.
 
Uzuri wa timu yetu tofauti na timu yenu munategemea wachezaji wawili watatu, sisi hatutegemei majina, Cesc ni team player kama mwengine yoyote iwe Ade, Rosicky ama Kolo. Sisi tunacheza kitimu, na daima tutacheza entertaining football, Nyinyi United kama Cristiano angelipata majeraha nambie mngemaliza nafasi ya ngapi season ilopita? nadhani ya tano, sisi hatukuwa na Robin ama Dudu kwa kipindi kirefu na ndio sababu tulimaliza vibaya, ama kuchemka kama unavyodai, sasa season hii wako fit plus tuna-unleash young Theo tutaona matokeo, uyo Cesc wakitutangazia dau la kueleweka tutamtoa vilevile, si walikwenda akina Henry na Vieira? Mzee Wenger hawezi kukubali mchezaji yoyote ampandie kichwani,sio nyinyi Cristiano juu ya kukutieni roho na kukwambieni Live hataki timu mumemlazimisha kwa msimu mmoja!! tuone season hii kama ata-perfom kama mwaka jana.

sijakataa kuwa mlikua na majeruhi bwana musee lakini tatizo ni kuwa that has been like excuse yenu misimu yoote,mwaanzaga vizuri halafu kufika kati kati mwachemka na kuanza poteza mwelekeo.sio msimu mmoja tu sasa since kocha ni huyo huyo kwanini asifikirie kurekebisha hilo??kauza ma viungo wangapi sijui wazuri kaishia kumnunua nasri tu kuwa replace hela nyingine kapeleka wapi sijui kwa kina silver.wa man utd halafu itafikia stage kati kati ya msimu kiuongo wenu mmoja akiumia tu,disaster,mwaanza toa draw hata mkija cheza na maji maji ya bongo!kwanini msiwe kama timu zingine??ona chelsea essien kaumia wana backup solution,nyie je?hao woote uliowataja nani anaweza cheza nafasi ya kiuongo vyema pindi fabregas kaumia lets say miezi mi 3 nje?
 
hao woote uliowataja nani anaweza cheza nafasi ya kiuongo vyema pindi fabregas kaumia lets say miezi mi 3 nje?[/

Nakubaliana na wewe hapa mtani, ila sometime ukiwa na safu ya mashambulizi kali inafidia na kuzifanya timu ku-deffend deep.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom