Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kocha wa Real Madrid Jose Mourinho ameshinda vita ya maneno dhidi ya Mkurugenzi Mkuu wa Timu hiyo, Jorge Valdano ambaye ametupiwa virago. Wawili hao wamekuwa kwenye msuguano mkali tangu Mourinho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Top 10 Sporting Scandals. Ryan Giggs has hit the headlines after being revealed as the footballer who tried to use the court system to stop details of his alleged affair entering the public...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chek President of the World and his Prime minister while in leisure !!!!! YouTube - ‪Must See: President Obama Playing Ping Pong defeated 13 - 2 (Original)‬‏
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Randy Savage Dead at 58, Ric Flair Reflects: “He and I clashed in business, but outside of the ring we were great.” May 23, 2011 – 11:15 am by Michael Bean The show business and wrestling...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Licha ya maneno na masimango ya watanzania kwa Kocha Marcio Maxmo kutoka nchini Brazil bado sijaipata furaha ya ukweli kama niliyokuwa nikiipata wakati kocha huyo akiwa na mikoba ya kukinoa kikosi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The UK Liberal Democrat MP John Hemming names footballer involved in privacy injunction in the House of Commons as Ryan Giggs. Mods don't remove this. It is all public now because MPs have a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
EDWIN VAN DER SAR Goalkeeper Manchester United The keepers who appear most active throughout the season are not necessarily those who are the most influential. My goalkeeper of the season is...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anastahili kucheza La Liga
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hili Game linaoneshwa Live na ITV But sijaelwa uwanja upo tupu na kuna watu wanatizama kupitia kwenye maghorofa yaliyo karibu na uwanja wa Sheikh amri Abeid Karume.. Je Kiingilio waliweka kikubwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo ndio rasmi English Premier League inafikia ukingoni, wakati Man United wakiwa tayari wameshatwa ubingwa changa moto imebakia kwa Man City na Arsenal ambao kila mmoja akisaka ushindi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mechi ya kwanza ilikuwa kati ya Ilala na singida, mchezo umemalizika kwa ilala kupata goli 3 kwa beseni na mechi inayoendelea kwa sasa ni Arusha na Mwanza..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
He becomes the oldest fighter to win a major world championship by beating Jean Pascal. MONTREAL - The old man is in the history books. Philadelphia’s Bernard Hopkins, 46, captured the World...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
"Macho Man" Randy Savage at the 2003 movie awards. May 20th, 2011 [Updated at 2:39 p.m.] Pro wrestler Randy "Macho Man" Savage, 58, was killed Friday morning in Florida when the Jeep he was...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
David Haye amembandika jina la "laghai" Wladimir Klitschko katika mkutano na waandishi wa habari mjini Hamburg wakati wa mchakato wa kutangaza pambano lao la ubingwa wa dunia wa kuunganisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa, Nawasalimu katika jina la Mungu aliye juu Naomba kujua nitapata wapi shule inayofundisha martial arts hapa Dar es Salaam kwa ajili ya watoto wa umri wa miaka 3 kuendelea. Mbarikiwe sana
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Leo timu yetu ya soka imecheza na Afrika Kusini, mechi ambayo imeisha kwa sisi kufungwa goli 1-0. Ingawa sikutazama mechi kuna mambo kadhaa yananikanganya, Bafana Bafana imecheza mechi ya leo bila...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cristiano ronaldo jana kapiga goli 2 na kuweza kufikisha magoli ya ligi 38 kati ya mechi 33 alizocheza msimu huu akimwacha mpinzani wake mkuu messi kwa tofauti ya magoli 7,messi ana magoli 31...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Sunday, 15 May 2011 20:54 Clara Alponce WAZEE wa klabu ya Yanga jana walimkabidhi Mkuki, Ngao na Kigoda kama alama ya cheo cha uchifu kwa aliyekuwa mfadhili wao Yussuf Manji.Manji alikabidhiwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Maradona named Al Wasl coach (PA) Monday 16 May 2011 Diego Maradona is set to become the coach of Al Wasl after the Dubai-based club confirmed they had reached an agreement with the legendary...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom