The real King of la liga and epl!

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Cristiano ronaldo jana kapiga goli 2 na kuweza kufikisha magoli ya ligi 38 kati ya mechi 33 alizocheza msimu huu akimwacha mpinzani wake mkuu messi kwa tofauti ya magoli 7,messi ana magoli 31! Magoli hayo yamemwezesha kuifikia rekodi iliyowekwa na hugo sanchez wa real madrid(1989/90) na telmo zarraondia wa atletico bilbao(1950/51) kwa kuwa ni wachezaji walioweza kufunga magoli mengi kwa msimu mmoja,yaani hayo magoli 38! Hata hivyo ronaldo bado ana nafasi ya kuvunja hiyo rekodi kama akifunga katika mechi ya mwisho ya real madrid msimu huu watapocheza na almeria next weekend! HUYU JAMAA KWELI NI MFALME WA LA LIGA AND EPL! Sijui kama hili swali lishawahi kuulizwa humu,ila me nauliza hivi messi na ronaldo nani zaidi katika all angles?? Usizungumzie tuzo za fifa kwani hata nsajigwa alipiga kura!!!!!
 
Hawa watu ukilinganisha kwa Idadi ya magoli utaona C Ronaldo ni mzuri kwa sababu kafunga magoli mengi kwenye laliga kuliko Messi, lakini kwa maoni yangu Messi ni zaidi ya Ronaldo, kwanza ana accuracy, anatoa pasi kwa wafungaji wengine, anauwezo wa kulamba vyenga mabeki kadhaa, anaweza kukimbia na mpira bila kupoteza control.

Ronaldo ni kweli ana mbio zaidi ya Messi na anapiga mashuti kwa nguvu kuliko Messi lakini kwa ubora wa kisoka Messi yuko juu ya Ronaldo.
 
Mwenye magoli mengi ndiye bora. Si huwa tunawasikia wataalam wa futiboli wakidai mpira ni magoli..au?
 
Messi ni mashine ingine bana!huenda akawa amemzidi maradona kwa ubora!
 
messi na ronaldo wote ni wazuri sana hatuwezi kusema nani zaidi ya mwenzake kwani kila mmoja kuna kitu anamzidi mwenzie
 
Messi ni mashine ingine bana!huenda akawa amemzidi maradona kwa ubora!

Messi alijikita kwenye kuhakikisha timu inabeba ubingwa, CR 7 ameamka baada ya harufu ya ubingwa kutoweka that's why the whole RM team play for him to win Pichichi!!
 
Cristiano Ronaldo made Real Madrid history with the two goals he netted against Real Sociedad at the Bernabeu.
He became the first Madridista to score 50 strikes in only 51 league games. He is followed in the ranking by the legendary Ferenc Puskas, who achieved this in 54 encounters.
REAL MADRID PLAYERS TO NET 50 LEAGUE GOALS IN THE FEWEST GAMES
1.Cristiano Ronaldo …………………….51 matches
2.Ferenc Puskas…………………………54 matches
3.Alfredo di Stefano…………………….56 matches
4.Palino……………………………………57 matches
5.Pruden………………………………….63 matches
6.Hugo Sanchez………………………...69 matches
7.Ronaldo de Lima……………………...71 matches
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom