Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Semi-finals , 2nd leg : 3-4 May 2011 3 May 2011 More » Barcelona 20:45 Real Madrid Referee: TBD – Stadium: Camp Nou, Barcelona (ESP) 4 May 2011 More » Man. United 20:45 Schalke Referee...
0 Reactions
342 Replies
33K Views
Unazi hadi kazini? Hawa kina Hando wa Clouds Pb ni washabiki nguli wa Man U. Huwa wanapata kigugumizi sana Man U wakichapwa. Sasa leo Hando kajibaraguuuuuuza, mwishoni anazuga eti kwa sababu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nimepitia site mbalimbali katika list ya majina ya wanamichezo walioteuliwa tuzo za Taswa eti kuna jina halitamkii, ni jina gani? ni raia wa wapi?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naambatanisha hizi Picha mbili mechi ya Jana Chelsea na Spurs hebu nisaidieni mwenzenu goli halali kwa vifungu vya FIFA linatakiwa liweje?. Kwa mtazamo wangu ni goli, hebu nisaidieni
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Juzi kwenye mech ya uefa kati ya realmadrid na bacelona, nilishuhudia mashabiki wa man u wakiwaka kwa hasira mno baada ya madrid kufungwa kuliko hata wapenzi wa madrid kwanini???
0 Reactions
37 Replies
5K Views
UONGOZI wa klabu ya Simba unaandaa bajeti ya shilingi 1.5 bilioni huku ikipanga kutumia sh.375 milioni kwa usajili msimu ujao, huku wakitoa saa 48 kwa wapangaji wao kusaini mkataba mpya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jalandhar :The Lovely Professional University (LPU) here Thursday called off classes for three days following the death of a Mizo student who was brutally thrashed by three African students during...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Dutch club sign one-year-old to 10-year deal A Dutch club have signed an 18-month-old toddler to a 10-year contract after seeing his amazing football skills on You Tube. Dutch club VVV-Venlo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nyie wakuu hapo TFF tunaomba muwe na utaratibu wa kuiupdate wavuti yenu.Si wadau tukiitembelea tunakuta habari za mwaka 49.Mnashindwa hata na blog za akina Michuzi?Nyie ni taasisi kubwa na dunia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Arsenal 1 - 0 Man Utd Kuisha '90 Aaron Ramsey wa Arsenalamepewa kadi ya njano na Chris Foy na hii ni kadi yake ya kwanza ya njano. '90 Mchezo umekwisha London. Matokeo ni: 1 - 0. '90 Man...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani matokeo ya game hili vp? mtujuze mliopo uwanjani..............
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Kwa sisi tunaovaa miwani,mala nyingi inatusaidia kuona zaidi ya kuona kwa kawaida kutokana na aidha macho yamepungunza nguvu ya kuona mbali au karibu katika hali ya ufasaha.Sasa nikirudi katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada!! kufahamishwa ni TV gani itaonesha mechi kati ya Vijana wa Julio na Cobs wa Uganda??
0 Reactions
7 Replies
2K Views
The UEFA Control and Disciplinary Body has confirmed the following sanctions against Rangers FC after the two legs of their UEFA Europa League round of 16 tie against PSV Eindhoven. Following a...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Sign of respect? A smirking Jose Mourinho ignored the message above his head during Hell Clasico and faces a touchline ban UEFA has opened disciplinary cases against Real Madrid CF and FC...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Haya wana Jf baada ya kipigo kutoka kwa Bacca,mambo yapo hivi Hostilities between Real Madrid and Barcelona were showing no sign of abating on Friday night and there was even the suggestion a...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jf Natumai wote ni wazima, Kuna taarifa kuwa kuna bilionea mmoja wa itali amepanga kujenga Bilionea club malindi Kenya. Ujenzi huo utagharimu U$D 700,000,000 na ujenzi wa club hiyo utachukua...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari ambazo zimerushwa na supersport Blitz hivi punde ni kuwa Bafana bafana watacheza game ya kirafiki ya kimataifa na Taifa stars katika uwanja wa mpya mei 14 bongo. Hii ni habari njema kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KOCHA mpya wa Simba Mosses Basena ametua nchini jana na leo anatarajia kusaini mkataba wa miezi sita na klabu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu na michuano ya kimataifa huku akitoa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Thomas Ulimwengu, akimtoka beki wa Cameroon. MSHAMBULIAJI chipukizi na hatari wa Timu ya Taifa ya Vijana, Thomas Ulimwengu anatarajia kutua TP Mazembe kwa mkopo. Akizungumza na Championi...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Back
Top Bottom