Hongera sana Clifford Mario Ndimbo

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.
 
Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.

sheria na taratibu zipi zilikuwa hazifatwi..
 
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage
 
Huyu naye Azam. Jamaa kapandiwa Dau na Azam, Mengine anayosema ni Formalities za most of resignations.
 
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage

Hii kauli ya huyu mzee na mimi imeniacha hoi. Ila ni mambo ya kawaida sana katika resignation issues
 
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage

Maha-Rage mwenyewe shule ndo matatizo,analewa sifa za uongozi.Karibu mtaani Ndimbo.
 
i knew it!! jamaa aliacha kazi yake nzuri kama tv presenter pale tbc1.
 
Mm ni mwanachama wa simba hata mm nampa pongezi ndimbo anajua anachokifanya na muhimu ni kujitambua,big ndimbo maisha hayapo simba,wasidharau watu kwa vyeo vyao
 
Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.

dogo muoga sana huyu...vita ni vita muraaa...pigana mpka mwisho yaani kujiuzuru haisaidiii alipaswa kuwa na ngozi ngumu yenye kuhimili michubuko hiyo aliyofanya sio kabisa...Mi naona kafanya uamuzi wa kitoto na kuanza kulia lia kwenye vyombo vya habari...hakuweza ku demonstrate maturity katika kuhandle issues ndo maana wamemwita karani...
 
Pesa za TP Mazembe zitaipeleka Simba Pabaya. yaani swala la mikwanja ya TP Mazembe Rage hataki mtu alete kiwingu, yaani hata kumpa mikaratasi mitupu msemaji wa klabu ili akawatangazie waandishi wa habari Huyu msomali hataki. halafu pili huyu Msomali anaitumia Simba kama Promo yake ya kisiasa, kwa hiyo anaona msemaji wa klabu ndio atakuwa anapata ujiko kuliko yeye. huyu alishafungwa jela kwa kesi ya wizi wa wazi kabisa sasa uaminifu huo kwa huyu Msomali sijui unatoka wapi!
 
Sio kufungwa tu aliwahi kufukuzwa kazi CDA kwa wizi wa pesa,huyu jamaa kwenye fedha ni mtu wa kuogopwa kama mwenye ukoma
 
Ila ndimbo na yeye ni mtu wa jabu sana atajiuzulu vipi kabla ajaandika barua?Bado sijajua elimu ya ndimbo,maana nasikia ametuma e amil ya kujiuzulu na sio barua.Sasa hiyo mpya ya mtu kutuma e mail badala ya barua.Kazi ipo sana kwa uongozi wa Rage simba sijui?????????????
 
..ndimbo yuko sahihi..nilijua anajiuzulu siku tatu kabla.....msemaji wa club anatuma email kwenye intenet cafe....hana ht laptop....pia Rage boya wa mambo..waswahili husema kujua kwingi mbele kiza...kama mnakumbuka aliwahi kusema amekatia rufaa Caf timu ya Tp Mazembe na ana uhakika atashinda mpk leo kimya..jamaa wanacheza makundi sasa CAF..juzi karopoka eti yanga wanajihangaisha kwa Asamoah mwisho wa siku Asamoah yuko Jagwani..
 
Nawashukuru sana kwa kuliona tatizo la Rage, lakini ni sahihi kumlaumu yeye binafsi?
Mie nipo tofauti kidogo na naona wa kulaumu ni wale wanaompa kila akitakacho:-
1. Wakazi wa Tabora= pale ana vyeo vingi mno kana kwamba hawaoni hakuna mwingine ila yeye kama ni muarobaini.
2. Wanachama wa Simba= katiba ya klabu ilikiukwa kwani rage ni mkaaji wa Tabora, sasa ni mbunge.
3. TFF= kumruhusu kuingia uwanja wetu wa taifa na jamaa zake wa klabu ndogo ya England eti kuukagua. Haya ni matusi kwetu watanzania, uwanja huu si wa klabu yoyote ni wa wananchi mbona FIFA/CAF na hata CECAFA wameuidhinisha kwa mashindano yao mengi tu kufanyika hapo hata timu bora kabisa kwa soka ya taifa linaloheshimika la Brasil imecheza hapo sasa haiingii akilini leo watu wajifanye wanaukagua, je wangesema haufai ingekuwaje?
4. Waandishi wa habari= Wanampa nafasi mno ya kujinadi.
WATAFAKARI.
 
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage

Mbona Rage mwenyewe ana vyeo zaidi ya vitatu tena vikubwa na bado ni Mwenyekiti wa Simba
 
Back
Top Bottom