Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage
sasa nsjua kwa nini RAGE alifungwa. hope angeozea huko
Napenda kumpongeza Ndimbo kujiuzuru nafasi ya usemaji wa klabu ya Simba. Hata hivo uamuzi wake umechelewa kwani sie tuliona mapema hali hiyo ya kutofuata sheria na taratibu.
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage
Rage anamdharau sana ndimbo,anasema yeye hashughulikii ajira ndogo ndogo za makarani,hapo hapo anajikanganya kuwa fifa walisema ofisa habari awe mwajiriwa wa kudumu!Ni ngumu kufanya kazi na rage