TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 373
Leo ndio rasmi English Premier League inafikia ukingoni, wakati Man United wakiwa tayari wameshatwa ubingwa changa moto imebakia kwa Man City na Arsenal ambao kila mmoja akisaka ushindi kujihakikishia nafasi ya moja kwa moja kwa ligi ya mabingwa wa ulaya msimu wa 2011/2012.
Man City wana pointi 68 moja zaidi ya Arsenal ambao wa 67,ushindi dhidi ya Bolton utawahakikishia kumaliza nafasi ya tatu hata kama Arsenal watashinda mechi yao dhidi ya Fulham.hivyo watakuwa na nafasi ya moja kwa moja kushiriki group stage European champions league.
Na katika hali ambayo ni ya kihistoria timu mbili kati ya tano zinaweza kujiunga na West Ham kutimiza idadi ya timu tatu za kushuka daraja.
Wigan na Blackpool wakiwa katika nafasi mbili za mkiani lakini wakiwa pointi sawa na Birmingham 39.
Wolves na Blackburn wana pointi 40 hii ikimaanisha lolote linaweza kutokea kwa timu hizi.
Wigan na Blackpool hata kama watashinda lakini bado watategemea matokeo ya mechi nyingine.
Aston Villa v Liverpool
Bolton v Man City
Everton v Chelsea
Fulham v Arsenal
Man U v Blackpool
Newcastle v West Brom
Stoke v Wigan
Tottenham vs Birmingham
West Ham v Sunderland
Wolverhamton v Blackburn
Tutajuzana matokeo hatua kwa hatua mpira utakapo anza.
Man City wana pointi 68 moja zaidi ya Arsenal ambao wa 67,ushindi dhidi ya Bolton utawahakikishia kumaliza nafasi ya tatu hata kama Arsenal watashinda mechi yao dhidi ya Fulham.hivyo watakuwa na nafasi ya moja kwa moja kushiriki group stage European champions league.
Na katika hali ambayo ni ya kihistoria timu mbili kati ya tano zinaweza kujiunga na West Ham kutimiza idadi ya timu tatu za kushuka daraja.
Wigan na Blackpool wakiwa katika nafasi mbili za mkiani lakini wakiwa pointi sawa na Birmingham 39.
Wolves na Blackburn wana pointi 40 hii ikimaanisha lolote linaweza kutokea kwa timu hizi.
Wigan na Blackpool hata kama watashinda lakini bado watategemea matokeo ya mechi nyingine.
Aston Villa v Liverpool
Bolton v Man City
Everton v Chelsea
Fulham v Arsenal
Man U v Blackpool
Newcastle v West Brom
Stoke v Wigan
Tottenham vs Birmingham
West Ham v Sunderland
Wolverhamton v Blackburn
Tutajuzana matokeo hatua kwa hatua mpira utakapo anza.