Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Jitambue ikiwa umezaliwa ukiwa na uwezo au nguvu za kichawi ndani yako ambazo unafree will nazo kutozitumia au kuzitumia kwa mazuri(chanya) au mabaya(hasi), kazi ni kwako; 1.Una imani thabiti juu...
15 Reactions
91 Replies
19K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote. Jana wakati ninafungua account yangu ya Facebook nilikutana na post hii ya jamiiforums kwenye ukurasa wao wa Facebook kwamba police wamelaani vikali juu ya taarifa...
12 Reactions
63 Replies
18K Views
Leila Khaled & 1970 Dawson's Field Hijackings: Komando wa kike kutoka PFLP (Marxist–Leninist Arab Revolutionary Movement) aliyehusika kuteka ndege El Al Flight 219 Ndege za abiria zikilipuka...
11 Reactions
99 Replies
16K Views
Hi Socrates, Wengi wetu tumekuwa tukishindwa kusoma vitabu kwa kigezo cha kukosa muda kutokana na kuwa busy na utafutaji n.k, Je nkisema sio kweli nitakuwa nakosea..!? Twende pamoja, Najua wengi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
(It's true my self) Habari wakuu, Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Kwanza salamuni wana jamvi. Huwa siachi kujiuliza tena kwa kusononeka nisikiapo maeneo kama Jerusalem na Makka na mengine yakiitwa matakatifu kana kwamba dunia iliyobaki ni chafu. Huwa sipati...
7 Reactions
66 Replies
10K Views
Wafu pekee ndio hawaoti na hawaoti kwakuwa hawana kumbukumbu tena na hawana kumbukumbu tena kwakuwa hawana uhai tena. Kila binadamu kamili lazima awe na vivuli vitatu kukosa kuwa na vivuli vyote...
32 Reactions
262 Replies
43K Views
Mmoja wa wanakamati ya kudeclassify files za iliyokuwa KGB anaelezea sababu za kuuawa kwa aliyekuwa mbabe wa USSR Joseph Stalin, na udhaifu wa KGB katika Counterintelligence mpaka kiongozi wa...
7 Reactions
228 Replies
37K Views
Habari za jioni wanajukwaa Niende moja kwa moja kwenye mada kama title inavyosema Kutokana na nilichotafiti binafsi kwa kuconnect dots ya vitabu mbalimbali nilivyosoma nimekutana na argument...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
nimeangalia viongozi wengi wakiwa na vimo vifupi huwa wanatumia magari ya chini Hillary Clinton aliamua kutembea na kigoda kama picha inavyoonekana pichani, kigoda hiki humsaidi kupanda kwenye...
7 Reactions
4 Replies
2K Views
habari za hapo mlipo wapendwa wa jf,natumai kuna wazima wa afya na wadhoofu wa afya si mbaya sote tuko pa1 katika gurudumu hili la kufanikisha dunia isonge na iwe na mchakato kamili wa kimaisha ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wengi wetu tunaamini kuacha nywele za kichwa zikue na kujisokota kuwa ni uhuni na si tabia njema kwa kadamnasi ya jamii inayo kuzunguka,lakini si hivyo isipokuwa tu ni maadili ya nchi yetu...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Wanabodi, Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za...
42 Reactions
148 Replies
32K Views
Nyerere kaondoka Duniani akiwa kaacha heshima kubwa mno kimataifa. Wanasiasa wa Tanzania wamekuwa hawaachi kumtaja huyu Mzee kila mara kwenye kampeni au hotuba zao. Alimshauri rafiki yake mkubwa...
37 Reactions
207 Replies
28K Views
MAJOR GENERAL Abdullah al-Senussi (Head of Military Intelligence) na tuhuma za kutekwa kwa kiongozi wa uislam Imam "Musa Sadr" Good afternoon jamiiforums Mnamo tarehe 13 mwezi Agosti mwaka...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Saddam Hussein, C.I.A & Italian Military Intelligence Service (SISMI): Tuhuma za wizi wa Uranium Powder (Yellowcake) kutoka migodi ya kampuni za Ufaransa nchini Niger! UTANGULIZI SEHEMU YA...
6 Reactions
77 Replies
12K Views
Habari wadau. Mimi ni mwanachama mpya humu. Nina jambo ambalo limekuwa likinichanganya kwa siku nyingi. Kwa mwenye uelewa japo kidogo ninaomba kufahamishwa. Wadau ni kwa nini duniani kuna watu...
25 Reactions
198 Replies
42K Views
Dear Minister of Foreign Affairs, First and foremost, i would like to congratulate the President of United Republic of Tanzania Mama Samia for appointing you to be the Minister of Foreign...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika siasa za kimataifa, mauji ya halaiki ni eneo ambalo limeutesa Utu kwa miaka mingi. Infact wataalamu wa historia ya maendeleo ya mwanadamu wanasema mauji ya halaika ni moja ya jambo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu. Turejee Kwenye historia tunajua kuwa waafrika tulitawaliwa. Mababu zetu walichapwa viboko na kulimishwa( historia inasema hivyo sio mimi) Hata dini tuliletewa na haohao waliotuchapa...
15 Reactions
171 Replies
18K Views
Back
Top Bottom