Habari wadau. Mimi ni mwanachama mpya humu. Nina jambo ambalo limekuwa likinichanganya kwa siku nyingi. Kwa mwenye uelewa japo kidogo ninaomba kufahamishwa.
Wadau ni kwa nini duniani kuna watu weusi (black people) mostly Africans na white people? Ilikuwaje kukawa na matabaka haya ya weusi na weupe?
Kwanini wote hatukuwa kama ni weusi basi wote duniani tuwe weusi kama weupe wote tuwe weupe. Wanasayansi wanatuambia tulitokana na sokwe maana yake chimbuko letu ni moja sasa kwa nini wengine wawe weupe wengine weusi?
Kwa upande mwingine wa dini tunaambiwa sisi ni chimbuko la Adam na Hawa maana yake chimbuko letu ni moja sasa kwa nini wao ni weupe sisi weusi?
Kama ni mabadikiko ya tabia nchi (climatic change) mfano mionzi ya jua (radiation), je sisi tulikuwa weupe tukapigwa jua tukawa weusi ama? Na kama ni hivyo, je nikienda sehemu isiyo na mionzi mikali ya jua nitabadikika kuwa mweupe (mzungu)?
Na je watu weupe wakija huku Africa wakapigwa mionzi mikali ya jua watakuwa weusi kama tulivyo sisi waafrica? Na kama ni hivyo itachukua muda gani? Napata utata sana juu ya maswali haya.
Na kama chimbuko letu binadamu hapa duniani ni moja je sisi weusi tulikuwa weupe baadae kutokana na climatic change tukawa weusi au watu weupe ndio walioanza kuwa weusi kisha kutokana na climatic change wakawa weupe? Ilikuwaje ikawa hivi ilivyo Leo? Kwa mwenye mchango au uelewa wowote hapa will be highly appreciated. Asante
Wadau ni kwa nini duniani kuna watu weusi (black people) mostly Africans na white people? Ilikuwaje kukawa na matabaka haya ya weusi na weupe?
Kwanini wote hatukuwa kama ni weusi basi wote duniani tuwe weusi kama weupe wote tuwe weupe. Wanasayansi wanatuambia tulitokana na sokwe maana yake chimbuko letu ni moja sasa kwa nini wengine wawe weupe wengine weusi?
Kwa upande mwingine wa dini tunaambiwa sisi ni chimbuko la Adam na Hawa maana yake chimbuko letu ni moja sasa kwa nini wao ni weupe sisi weusi?
Kama ni mabadikiko ya tabia nchi (climatic change) mfano mionzi ya jua (radiation), je sisi tulikuwa weupe tukapigwa jua tukawa weusi ama? Na kama ni hivyo, je nikienda sehemu isiyo na mionzi mikali ya jua nitabadikika kuwa mweupe (mzungu)?
Na je watu weupe wakija huku Africa wakapigwa mionzi mikali ya jua watakuwa weusi kama tulivyo sisi waafrica? Na kama ni hivyo itachukua muda gani? Napata utata sana juu ya maswali haya.
Na kama chimbuko letu binadamu hapa duniani ni moja je sisi weusi tulikuwa weupe baadae kutokana na climatic change tukawa weusi au watu weupe ndio walioanza kuwa weusi kisha kutokana na climatic change wakawa weupe? Ilikuwaje ikawa hivi ilivyo Leo? Kwa mwenye mchango au uelewa wowote hapa will be highly appreciated. Asante