Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 918
(It's true my self)
Habari wakuu,
Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo mbalimbali. Naomba mchango wa mawazo / maono/ Tafsiri zenu juu ya ndoto yangu hii.
Niende mmoja kwa moja kwenye Mada.
Jana usiku nimechelewa Sana kulala na nilikuwa Nina uchovu mwingi sana. Nimelala ya pata kama vile Saa 7:30 ambapo Sio kawaida yangu.
,,,Jinsi nilivyo lala na kuanzia kuota sikumbuki,, nimekuja tu kupata Ufahamu kuwa nipo mwaka 1973 (mwaka ambapo bado hata sijazaliwa). Na nilijua tu bila kuambiwa na mtu kuwa huu ni mwaka 1973, kwa kujiridhisha nikawauliza tena watu wawili waliokua karibu yangu kuwa eti jamani huu ni mwaka gani wakaniambia tena kwa kunishangaa, we vipi, umeshapoteza kumbukumbu? Tumeingia mwaka 1973 - 72 tumeiacha wiki mbili zilizopita.
Chaajabu nilikuwa sijui wala sitambui kama naota nilikuwa najua nipo kwenye uhalisia ila kilichonishangaza zaidi nilikuwa nikiwaona watu am so sasa hivi ni watu wazima/ wengine wazee/ wengine walishakufa namaeneo na mitaa (ambayo haina hata lami kwa sasa ina lami na imejengeka) naishangaa Sana na kujiuliza kuwa hawa watu mbona kama nilishawahi kuwaona some where ila sikumbuki nibwapi! Hizi Barabara zenye vumbi na mitaa mingine haina hata nyumba nyingi nikiiona naikumbuka najiuliza hii mitaa mbona kama nilishawahi kuiona hapo kabla ila sikumbuki ni wapii,,!?
Ghafla nilianza kuwaona watu kwenye uhalisia wa maisha yao ya enzi zilee...!!
Nilianza kutembea kwenye mitaa mbalimbali nikianza kuyafananisha maeneo ambayo kama nayakumbuka vile ila sijui niliwahi kuyaona wapi. Nakumbuka katika tembea tembea nikakutana na Jamaa mmoja ni jirani yangu (sasa hivi ni mbaba mtu mzima) maeneo ya nyumbani kwake anayoishi, ila chaajabu eti amerudi ujanani, nikamsalimia kwa kumchangamkia ila alikuwa ananishangaa kuwa nimemjuaje wakati yeye hanijui na hanikumbuki kwa kuwa nilimtaja na jina kabisa kwenye salamu. Nilimuuliza unamjua fulani (jinalangu- ambae ndio Mimi) akasema mbona simjui? Na wakati huku kwenye uhalisia ni jamaa yangu na tunapigaga nae stori
Nili experience mazingira mengi ambayo sijawai yaona na siwezi yaelezea yote. Ila picha zilivyo kuwa zinaonekana zingine ni kama kwenye mfano wa negative photograph.
Naombeni msaada wakuu hiyo ni ndoto ya aina gani? Na inavyjumbe gani?
(Tambua nilikuwa sikumbuki kwamba nimo kwenye ndoto au hapa naota Hapana, nilipo shtuka tu ndio nikajua kumbe nilikuwa naota!)
Msaada wakuu
Mshana Jr Rakims Undava King msafiri.razaro MziziMkavu na wengineo
Habari wakuu,
Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo mbalimbali. Naomba mchango wa mawazo / maono/ Tafsiri zenu juu ya ndoto yangu hii.
Niende mmoja kwa moja kwenye Mada.
Jana usiku nimechelewa Sana kulala na nilikuwa Nina uchovu mwingi sana. Nimelala ya pata kama vile Saa 7:30 ambapo Sio kawaida yangu.
,,,Jinsi nilivyo lala na kuanzia kuota sikumbuki,, nimekuja tu kupata Ufahamu kuwa nipo mwaka 1973 (mwaka ambapo bado hata sijazaliwa). Na nilijua tu bila kuambiwa na mtu kuwa huu ni mwaka 1973, kwa kujiridhisha nikawauliza tena watu wawili waliokua karibu yangu kuwa eti jamani huu ni mwaka gani wakaniambia tena kwa kunishangaa, we vipi, umeshapoteza kumbukumbu? Tumeingia mwaka 1973 - 72 tumeiacha wiki mbili zilizopita.
Chaajabu nilikuwa sijui wala sitambui kama naota nilikuwa najua nipo kwenye uhalisia ila kilichonishangaza zaidi nilikuwa nikiwaona watu am so sasa hivi ni watu wazima/ wengine wazee/ wengine walishakufa namaeneo na mitaa (ambayo haina hata lami kwa sasa ina lami na imejengeka) naishangaa Sana na kujiuliza kuwa hawa watu mbona kama nilishawahi kuwaona some where ila sikumbuki nibwapi! Hizi Barabara zenye vumbi na mitaa mingine haina hata nyumba nyingi nikiiona naikumbuka najiuliza hii mitaa mbona kama nilishawahi kuiona hapo kabla ila sikumbuki ni wapii,,!?
Ghafla nilianza kuwaona watu kwenye uhalisia wa maisha yao ya enzi zilee...!!
Nilianza kutembea kwenye mitaa mbalimbali nikianza kuyafananisha maeneo ambayo kama nayakumbuka vile ila sijui niliwahi kuyaona wapi. Nakumbuka katika tembea tembea nikakutana na Jamaa mmoja ni jirani yangu (sasa hivi ni mbaba mtu mzima) maeneo ya nyumbani kwake anayoishi, ila chaajabu eti amerudi ujanani, nikamsalimia kwa kumchangamkia ila alikuwa ananishangaa kuwa nimemjuaje wakati yeye hanijui na hanikumbuki kwa kuwa nilimtaja na jina kabisa kwenye salamu. Nilimuuliza unamjua fulani (jinalangu- ambae ndio Mimi) akasema mbona simjui? Na wakati huku kwenye uhalisia ni jamaa yangu na tunapigaga nae stori
Nili experience mazingira mengi ambayo sijawai yaona na siwezi yaelezea yote. Ila picha zilivyo kuwa zinaonekana zingine ni kama kwenye mfano wa negative photograph.
Naombeni msaada wakuu hiyo ni ndoto ya aina gani? Na inavyjumbe gani?
(Tambua nilikuwa sikumbuki kwamba nimo kwenye ndoto au hapa naota Hapana, nilipo shtuka tu ndio nikajua kumbe nilikuwa naota!)
Msaada wakuu
Mshana Jr Rakims Undava King msafiri.razaro MziziMkavu na wengineo