Wakuu,
Nini lengo la viongozi kukagua gwaride?Mbona naona huwa anapita tu hata wakati mwingine hawaangalii hao wakaguliwaji?
Nilitegemea kiongozi awe na ile" attention to details" ili aweze...
Viongozi wa nataifa mbalimbali wakitembelea nchi yetu, magari husimamishwa kupisha msafara na Rais wa Taifa kama Marekani ndio kabisa mji mzima unaweza kusimama (nakumbuka kufuru ya msafara wa...
Kwanza lazima utambue kuwa kama kuna kundi hatari duniani kwa ukatili, ubabe na utajiri basi ni makundi ya wauza unga... Hawa ni zaidi ya makundi ya kimafia na kigaidi
Makundi haya huwa na himaya...
Wakuu aina hii ya sare (uniform) sijawahi kuiona katika moja ya majeshi ya Tanzania.Kuanzia polisi,JWTZ,Mgambo wala kwingineko.Je naweza kufahamishwa aina hii ya sare ni mpya kwa majeshi yetu au...
Tom Clancy.2021.WITHOUT REMORSE
Je, Nadharia zilizotumika zinaakisi uhalisia wa Mambo?
"You know who won WW II?"
"It wasn't the Generals or the Admirals."
"It was the Economists."
"More...
Israel na Palestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao linaingia mara 40 kwa Tanzania, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho...
Habari, Juzi Mh. Rais, Mh. Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa mikoa wa mikoa yote ya Tanzania bara na miongoni ya walioteuliwa ni aliyekuwa mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja General...
Does Tanzania have special unit for the protection of the President? (Presidential Protection Unit, PPU)? Or is "Usalama wa Taifa" one big PPU?
Apart from PPU duties, does 'usalama wa taifa'...
Inafahamika kuwa Marais huwa na wasaidizi wao, kwa hapa kwetu msaidizi wa Rais ndio huwa karibu na Rais na huteuliwa kwa uyakinifu.
Nini hiki kinachotokea Kenya kuona Rais wetu anamsaidizi...
Duni ingekuwa sehemu ya aina gani kama kusingekuwa na nchi na mipaka yake? Yani fikiria unatembea bara zima la Africa na dunia yote bila kuhitaji passport au visa!
Hakuna majeshi ya kulinda...
Wanabodi
Ni muda mrefu wanaJF kadhaa wameandika ssna kuhusiana na haja ya kuwa na kurugenzi kamili ya ujasusi inayoshughulikia sera yetu ya nje na uhusiano wa Kimataifa.
Jana tarehe Jumanne...
Mwaka 2005 mwezi wa nane,Tarehe 23 saa nane mchana,ktk jiji la New Orleans lililopo jimbo la Louisiana nchini Marekani,hali ya Hewa ilibadilika ghafla, baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo...
Nilisema suala la mahindi ni vita ya kiuchumi baadhi yenu hamkuelewa. Nilisema madai ya Wakenya kwamba mahindi yetu yana sumu kuvu (mycotoxins) ni batili kwa sababu tumewalisha kwa miaka 60 na...
This is incredible, yet so believable...Im looking into this seriously (sceptical though), I strongly recommend that you do as well...
To watch, Pls click on the picture below:
--WanaJF, Je...
Today, we are on the cusp of witnessing a widespread implementation of artificial intelligence (AI) across several sectors. As artificial intelligence technologies are pushing the frontiers of...
Unaweza kujiuliza Taifa kubwa ambalo limewahi kuwashuhudia maraisi wake wanne wakiuwawa mbele ya macho yao, licha ya ulinzi mkali litakuwa 'serious' kiasi gani katika kuepukana na aibu hiyo...
SEHEMU 1: JINSI YA WAZUNGU WALIVYOTOKEA DUNIANI
Binadamu wa sasa alizaliwa Afrika na kutokana na mtu mweusi watu wa aina yote duniani walipatikana . Swali je ni kwa namna gani rangi tofauti za...
"Ukiwa kwenye taamuli unaona kilichokuwa kinaendelea akili mwako wakati wote." - Allan Lokos
Watu wengi wamekuwa wakijifunza meditation tangu karne na karne, miaka na miaka. Sio kitendo...
Wasalaam
Juzi nilipata kupitia nyuzi fupi ya bwana ndege JOHN , Aliyojaribu kuuliza kuhusu Dragons, kwa namna moja ama nyingine nimeshindwa kuiattach hapa.
Lakini nikaona si mbaya nami...
Wasalaam,
Naomba kujua tofauti Kati Ugaidi na Uajsusi,hasa kwenye vitendo.
Kwa mfano watu wa nchi moja wakie da nchi nyingine na kumuua mtu Fulani wa nchi nyingine,nchini kwake
ama akiwa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.