Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Inafahamika kuwa Marais huwa na wasaidizi wao, kwa hapa kwetu msaidizi wa Rais ndio huwa karibu na Rais na huteuliwa kwa uyakinifu. Nini hiki kinachotokea Kenya kuona Rais wetu anamsaidizi...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Duni ingekuwa sehemu ya aina gani kama kusingekuwa na nchi na mipaka yake? Yani fikiria unatembea bara zima la Africa na dunia yote bila kuhitaji passport au visa! Hakuna majeshi ya kulinda...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanabodi Ni muda mrefu wanaJF kadhaa wameandika ssna kuhusiana na haja ya kuwa na kurugenzi kamili ya ujasusi inayoshughulikia sera yetu ya nje na uhusiano wa Kimataifa. Jana tarehe Jumanne...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwaka 2005 mwezi wa nane,Tarehe 23 saa nane mchana,ktk jiji la New Orleans lililopo jimbo la Louisiana nchini Marekani,hali ya Hewa ilibadilika ghafla, baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilisema suala la mahindi ni vita ya kiuchumi baadhi yenu hamkuelewa. Nilisema madai ya Wakenya kwamba mahindi yetu yana sumu kuvu (mycotoxins) ni batili kwa sababu tumewalisha kwa miaka 60 na...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
This is incredible, yet so believable...Im looking into this seriously (sceptical though), I strongly recommend that you do as well... To watch, Pls click on the picture below: --WanaJF, Je...
2 Reactions
241 Replies
53K Views
Today, we are on the cusp of witnessing a widespread implementation of artificial intelligence (AI) across several sectors. As artificial intelligence technologies are pushing the frontiers of...
1 Reactions
0 Replies
649 Views
Unaweza kujiuliza Taifa kubwa ambalo limewahi kuwashuhudia maraisi wake wanne wakiuwawa mbele ya macho yao, licha ya ulinzi mkali litakuwa 'serious' kiasi gani katika kuepukana na aibu hiyo...
19 Reactions
39 Replies
10K Views
SEHEMU 1: JINSI YA WAZUNGU WALIVYOTOKEA DUNIANI Binadamu wa sasa alizaliwa Afrika na kutokana na mtu mweusi watu wa aina yote duniani walipatikana . Swali je ni kwa namna gani rangi tofauti za...
6 Reactions
64 Replies
15K Views
"Ukiwa kwenye taamuli unaona kilichokuwa kinaendelea akili mwako wakati wote." - Allan Lokos Watu wengi wamekuwa wakijifunza meditation tangu karne na karne, miaka na miaka. Sio kitendo...
17 Reactions
55 Replies
14K Views
Wasalaam Juzi nilipata kupitia nyuzi fupi ya bwana ndege JOHN , Aliyojaribu kuuliza kuhusu Dragons, kwa namna moja ama nyingine nimeshindwa kuiattach hapa. Lakini nikaona si mbaya nami...
12 Reactions
40 Replies
12K Views
Wasalaam, Naomba kujua tofauti Kati Ugaidi na Uajsusi,hasa kwenye vitendo. Kwa mfano watu wa nchi moja wakie da nchi nyingine na kumuua mtu Fulani wa nchi nyingine,nchini kwake ama akiwa nchi...
5 Reactions
33 Replies
6K Views
Wana Jamii wa humu natumaini hamjambo kabisa, napenda kuuliza huvi, ikitokea msafara wa Rais unapita halafu ikatokea ambulance inamgonjwa kutoka sehemu flani inampeleka hospitali, je, nani...
1 Reactions
31 Replies
9K Views
The KGB, NATO and Post-Independence Africa (1960s-1980s): Vita Mpya vya Maslahi ya Wazungu (USSR-USA-EU) ndani ya bara la Afrika punde baada ya uhuru. Ninakushauri uanze kwa kusoma thread hii...
3 Reactions
103 Replies
12K Views
UZI HUU SIO WA KIDINI LICHA YA KWAMBA IMETUMIKA MIFANO KUTOKA KWENYE VITABU VYA DINI, HIVYO NAOMBA USIPELWKWE KWENYE JUKWAA LA DINI. Waislamuini Korani na Wakristo wanaiamini Biblia, wote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sayansi haisemi uongo, Ila uongo unaweza kujitengenezea sayansi yake. Uchunguzi wa kimahakama wa matukio ya uhalifu ni uchunguzi wa kisaynsi unaolenga kukusanya ushahidi usio na shaka na kisha...
19 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari wanaJf, nizame straight kwenye mada mtanisamehe kwenye uhandishi mbovu dhumuni content ifike na tujadili. Tukiwa kama binadamu wote tumeumbwa na choyo na ubinafsi ya kiasi ndani yetu...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Ukiwa unatembea, wenzako wanakimbia, ndivyo naweza kusema kwa lugha ya haraka kutokana na teknolojia inavyotupa picha kuwa siku moja binadamu ataweza kupika akiwa safarini au kupaa kwa kutumia...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
"I am your god and teacher.I am the devine way,the torch that lights up the dark.There is no god but Ali solih." Haya ni maneno yake marehemu Ali solih aliyekuwa raisi wa Visiwa vya...
13 Reactions
25 Replies
7K Views
Kuelekea mwishoni mwa vita ya pili ya dunia 1945 , vita upande wa Ulaya ni kama ilikuwa imeisha, hata hvyo upande wa Pacific ndo ilikuwa inashuhudiwa pambano kubwa zaidi kuwahi kutokea , kisiwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom