Uliwengu umekuwa na muda mrefu wa utulivu isipokuwa mizozo ya vita katika mataifa machache vilivyohusisha nchi katika mabara tofauti miaka ya hapo nyuma.
Tangu kukamilika kwa vita vya pili vya...
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?
Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena...
Leo nazungumza na wale ambao mara tu wafumbapo kope zao aidha ni mchana au usiku basi utalii katika ulimwengu wa ndoto kujionea yaliyofichika zaidi.
Mara nyingi manabii hawa ukosa majibu ya vitu...
Huu uchawi uliokuwa unatumiwa zamani sana
na baadhi ya jamii za kipindi hiko, inajumuisha uwezo wa ubongo kutengeneza taswira ukisaidiwa na uwezo wa jini anaitwa KABASI.
Unafanyaje
_Chukua picha...
Hi Guys!
Moja kwa moja kwenye mada. Niwaombe moods wasiedit majina, nikiyapa yaanze na herufi ndogo ni herufi ndogo hivyo hivyo, herufi kubwa ni herufi kubwa hivyohivyo.
Haya tuendelee, nimeona...
3 Dec 2015
Melbourne, Australia
"The truth about mobile phone and wireless radiation" -- Dr Devra Davis
Published on 3 Dec 2015
"The truth about mobile phone and wireless radiation: what we...
Nawasalimia sana watu wote wa hapa JF.
Nivema nikaeleza kwa ufupi kwanini tunajaribu kuieleza jamii kuhusu meditation.
Asilimia kubwa yetu sisi wanadamu tunakuwa hatuko aware na mabo...
Naomba unieleze mambo yafuatayo kwann yanatokea wakati mtu amelala chalii tu
i. Kufikiri kwa makini na kulala chalii
ii. Kupumzisha mwili(relaxing) na kulala chali.
iii. Ndoto za ajabu mfano...
HISTORIA YA TAIFA LA ISRAEL TANGU 1948 NA VITA VITA KUU ILIZOPIGANA.
UTANGULIZI (softcopy iliyokamilika ipo sasa 3000 tsh pekee)
Katika karne ya 19 idadi kubwa ya Wayahudi waliishi katika maeneo...
Nimevutiwa kushare kile kidogo ninachokijua kuhusiana na namna upelelezi unavyofanyika, vitu gani ni muhimu mpelelezi kuwa navyo hili kufanya uchunguzi wa kawaida katika masuala ya mauaji yeyote...
Salaam wadau
Kumekuwa na mijadala mingi ya kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika shughuli zao. Kiuchumi, kifamilia, kielimu na nk. Moja ya sababu zilizo tajwa ni namna yao kufikiri mambo...
The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs...
Je, Wajua
Katika mikasa mbalimbali ya Biblia, Hadithi zinaonyesha kuwa Mungu amekadiriwa kuwaangamiza(kuwaua) watu 2,800,000 katika mikasa mbalimbali iliyomuudhi ikiwepo kipindi cha gharika...
Mada hii haipo kidini bali ipo ki-kisayansi na ki-intelectual zaidi.
Kutoka Jitambue Sasa Blog.
Unaweza ukawa uliwahi kuona watakatifu, walimu wenye hekima, walimu wa imani, watawa...
BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI.
Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa...
Ni jambo la kushangaza na kuchanganya kidogo Kama si sana lakini wagonjwa mahututi wengi (sio wote) hufariki usiku wa manane.
Natambua fika jana jioni kuna watu wengi tu, wamewaacha wapendwa wao...
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Ni sayansi gani hii? Ni uchawi!? Ni mazingaombwe ama ni jambo la kufikirika tu lisilo na ukweli wowote?
Niliahidi kuleta mada hii, baada ya Dr. Shika kuchagiza kwenye simulizi yake ya kutoroka...
je alijua wengi watamlilia sana?
je watamuuliza sana maswali mengi?
je ameamua tu?
au hayupo?
Msaada wenu tafadhari mwenye idea na hili suala.
Japo najua kuwa yeye mwenyewe ndiye alipaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.