nimeangalia viongozi wengi wakiwa na vimo vifupi huwa wanatumia magari ya chini Hillary Clinton aliamua kutembea na kigoda kama picha inavyoonekana pichani, kigoda hiki humsaidi kupanda kwenye...
habari za hapo mlipo wapendwa wa jf,natumai kuna wazima wa afya na wadhoofu wa afya si mbaya sote tuko pa1 katika gurudumu hili la kufanikisha dunia isonge na iwe na mchakato kamili wa kimaisha ya...
Wengi wetu tunaamini kuacha nywele za kichwa zikue na kujisokota kuwa ni uhuni na si tabia njema kwa kadamnasi ya jamii inayo kuzunguka,lakini si hivyo isipokuwa tu ni maadili ya nchi yetu...
Wanabodi,
Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za...
Nyerere kaondoka Duniani akiwa kaacha heshima kubwa mno kimataifa.
Wanasiasa wa Tanzania wamekuwa hawaachi kumtaja huyu Mzee kila mara kwenye kampeni au hotuba zao.
Alimshauri rafiki yake mkubwa...
MAJOR GENERAL Abdullah al-Senussi (Head of Military Intelligence) na tuhuma za kutekwa kwa kiongozi wa uislam Imam "Musa Sadr"
Good afternoon jamiiforums
Mnamo tarehe 13 mwezi Agosti mwaka...
Saddam Hussein, C.I.A & Italian Military Intelligence Service (SISMI): Tuhuma za wizi wa Uranium Powder (Yellowcake) kutoka migodi ya kampuni za Ufaransa nchini Niger!
UTANGULIZI SEHEMU YA...
Habari wadau. Mimi ni mwanachama mpya humu. Nina jambo ambalo limekuwa likinichanganya kwa siku nyingi. Kwa mwenye uelewa japo kidogo ninaomba kufahamishwa.
Wadau ni kwa nini duniani kuna watu...
Dear Minister of Foreign Affairs,
First and foremost, i would like to congratulate the President of United Republic of Tanzania Mama Samia for appointing you to be the Minister of Foreign...
Katika siasa za kimataifa, mauji ya halaiki ni eneo ambalo limeutesa Utu kwa miaka mingi. Infact wataalamu wa historia ya maendeleo ya mwanadamu wanasema mauji ya halaika ni moja ya jambo...
Habari za mchana wana JF,
Baada ya uzi operation kitona nimeona kuna haja ya kuongelea Congo War kwa ujumla ili tuweze kupata kiini cha mgogoro na matokeo yake ingawa kwa wakati wa sasa...
Wakuu. Turejee
Kwenye historia tunajua kuwa waafrika tulitawaliwa. Mababu zetu walichapwa viboko na kulimishwa( historia inasema hivyo sio mimi)
Hata dini tuliletewa na haohao waliotuchapa...
Mtu ana roho ndani ya mwili na anayo nafsi ama mlango wa mawazo , (vitu vitatu kwa pamoja vinafanya mtu),
Mtu akifa mwili unarudi ardhini kwa kuoza , roho inabaki milele , roho inajua vitu vingi...
Ivi wakuu Kuna kitu kinanichanganya akili,
Nikiangalia system ya injini ya gari ilivyotengenezwa kwa mapangilio, na gari yenyewe pia kwa ujumla, yaani Kuna mfumo wa kupooza injini, Kuna mfumo...
Habari,
Kumekuwa na nyuzi kadhaa humu Jamii Forums na hasa katika Jukwaa dogo la 'Jamii Intellience' kuhusiana na hamu ya kujua kama Kusafiri kiwakati ni jambo linalowezekana ama ni visa vya...
SCARILY TRUE!!
AN ACCURATE HOROSCOPE FOR THE WHOLE YEAR 2014!
This is the real deal. See if it is true with all
the people you know. It sure was for me!!
AQUARIUS - Does It in the Water...
Ukweli ni kitu gani? Ukweli uko wapi?
Je, ukweli ni hiki tunachokiona au tunachokisikia?
Je, ukweli ni kile tunachokihisi au tunachokigusa au kinusa? Ukweli ni kitu gani? Ukweli uko wapi?
Je...
Nitangulie kwa kusema Utamaduni ni neno pana linalojumuisha mfumo mzima wa Maisha, lengo la Uzi huu ni kuonesha ni jinsi gani tulivyoubeba utamaduni wa kigeni na kuufanya dini zetu na pengine...
BOOK SUMMARY: WHITE POISON
(A Black Christian is a Traitor to the Memory of his Ancestors..Africa Wake Up !)
MWANDISHI: Kayemb “Uriël” Nawej
MCHAMBUZI: Ghost Writer([emoji317])
Tuanze kwa...
Habarini za asubuhi wanaJF, natumaini mko wazma sana na Pole ziende kwa wagonjwa. Leo Naomba nilete uzi huu wenye mada ya magereza matano duniani yenye hatari yake kwenye uzuri wa miundombinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.