Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,677
Jitambue ikiwa umezaliwa ukiwa na uwezo au nguvu za kichawi ndani yako ambazo unafree will nazo kutozitumia au kuzitumia kwa mazuri(chanya) au mabaya(hasi), kazi ni kwako;
1.Una imani thabiti juu ya kuwajibika juu ya matendo yako au unabeba kinachokukumba kama sehemu ya kukosea,kujiadhibu au kupatia kwako pasipo kulahumu au kutwisha misalaba wengine.
2.Unajisikia vizuri sana ukiwa katika mazingira ya asili au kuishi katika mazingira ya nyumbani ambayo yana uoto na mazingira matulivu ya asili.
3. Unaweza kuhisi au kukisia nguvu hasi au chanya toka kwa wengine (ni kama kipawa usichoweza kukielezea kwanini unafanya hivyo) Mara nyingi unajikuta ni mtu mwenye tahadhari sana.
4.Unaweza kuwa pia na uwezo wa kuponesha au kutibu wagonjwa kiasili,kushauri kitabibu pasipo kusomea au kwa kukadiria tiba na ikawa au pengine wapenda sana masuala ya kutafiti mitishamba n.k na unapofanya hivyo unafurahia kweli toka moyoni.
5. Unajisikia tofauti au unawaza tofauti na watu wa rika lako na mara nyingi ukuwia vigumu kuchangamana nao au upendi vikundi "hiki kitendo kimedumu kwa muda mrefu maishani mwako japo si mara zote" na unakuwa na hisia kuwa umekuwa hivyo tokea hata ujajitambua ni lini hasa ulianza kujitofautisha.
6.Una ukarimu usiyo wa kawaida, una moyo wa kusaidia au kujitoa japo mara kadhaa umetendwa au kufanyiwa ndivyo sivyo lakini unaendelea kujitoa kusaidia wengine au kuufungulia moyo wako dunia.
7. Unajihisi unamuunganiko imara na utukufu, idea ya Mungu kuwa ni kiumbe pekee katika fikra zako unaona ni vyema kama ikielezewa kuwa ni nguvu ijumuishayo hali ya kiume na kike kwa pamoja iendayo na kutoka pia kuzunguka kila kiumbe na kila kitu.
8. Unataka au unapenda mno kujifunza bila mipaka hasa mambo ya sirini au yasiyo marahisi kuchunguzika na unachotaka ni kujitambua au kujiweka huru kifkra.
9.Una hisia nzito ya huruma na kuheshimu wanyama na mazingira yao mara nyingi ujisikii vizuri ukiona uharibifu wowote wa mazingira au mauaji/ukatili kwa viumbe hai.
10. Unajikuta wakati mwingi ukifurahia kulitizama anga nakustaajabia nyota, jua, mwezi n.k na unahisi kuna muunganiko fulani usioelezeka baina yako na vitu hivyo, unajaribu kudadisi nakutaka kujua mengi kuhusu mizunguko,uwepo na nguvu zake.
11.Unajikuta mara kadhaa ukijaribu kuunda au kujaribu kufanya uchawi pasipo kukusudia au kung'amua.
12. Waamini kuwa miujiza ni nguvu za ukweli, ambazo zinaweza kutumiwa kwa mazuri au mabaya itategemea na namna mtendaji wa miujiza hiyo atakavyoamua kuitumia.
13.Unaamini katika nguvu za kiakili (psychic power),mfano:-
*Claivoryance(uwezo wa kupata jumbe mbalimbali kupitia akili pasipo kuambiwa)
*Cleiraudience(uwezo wa kusikia sauti mbalimbali kupitia akili)
*Clairsentience(uwezo wa kuweza kuhisi nakujua pasipo kuona au kuambiwa) pia kuamini katika uwepo wa;
*Aura reading(hisia inayomzunguka kiumbe au kitu katika muundo wa rangi)
*Psychometry(uwezo wa kugundua ukweli kuhusu tukio au mtu kupitia kugusa kitu chenye mahusiano nacho)
*Telekinesis"mjongeo" au psychokinesis "nafsi" (ni uwezo wa mtu kuathiri mfumo halisi(kifizikia) bila ya kutangamana na uhalisia wenyewe) Mfano kutumia fikra kusogeza au kuvuta kitu n.k
*Preternatural(kufanya jambo nje ya uwezo wa kawaida au asili)
*Supernatural(uwepo wa nguvu isiyoweza elezeka kisayansi au kwa sheria za uhalisia(laws of nature))
*Divination(kitendo cha kutafuta maarifa ya mambo au hatima ya baadae au kupitia nguvu za supernatural)
1.Una imani thabiti juu ya kuwajibika juu ya matendo yako au unabeba kinachokukumba kama sehemu ya kukosea,kujiadhibu au kupatia kwako pasipo kulahumu au kutwisha misalaba wengine.
2.Unajisikia vizuri sana ukiwa katika mazingira ya asili au kuishi katika mazingira ya nyumbani ambayo yana uoto na mazingira matulivu ya asili.
3. Unaweza kuhisi au kukisia nguvu hasi au chanya toka kwa wengine (ni kama kipawa usichoweza kukielezea kwanini unafanya hivyo) Mara nyingi unajikuta ni mtu mwenye tahadhari sana.
4.Unaweza kuwa pia na uwezo wa kuponesha au kutibu wagonjwa kiasili,kushauri kitabibu pasipo kusomea au kwa kukadiria tiba na ikawa au pengine wapenda sana masuala ya kutafiti mitishamba n.k na unapofanya hivyo unafurahia kweli toka moyoni.
5. Unajisikia tofauti au unawaza tofauti na watu wa rika lako na mara nyingi ukuwia vigumu kuchangamana nao au upendi vikundi "hiki kitendo kimedumu kwa muda mrefu maishani mwako japo si mara zote" na unakuwa na hisia kuwa umekuwa hivyo tokea hata ujajitambua ni lini hasa ulianza kujitofautisha.
6.Una ukarimu usiyo wa kawaida, una moyo wa kusaidia au kujitoa japo mara kadhaa umetendwa au kufanyiwa ndivyo sivyo lakini unaendelea kujitoa kusaidia wengine au kuufungulia moyo wako dunia.
7. Unajihisi unamuunganiko imara na utukufu, idea ya Mungu kuwa ni kiumbe pekee katika fikra zako unaona ni vyema kama ikielezewa kuwa ni nguvu ijumuishayo hali ya kiume na kike kwa pamoja iendayo na kutoka pia kuzunguka kila kiumbe na kila kitu.
8. Unataka au unapenda mno kujifunza bila mipaka hasa mambo ya sirini au yasiyo marahisi kuchunguzika na unachotaka ni kujitambua au kujiweka huru kifkra.
9.Una hisia nzito ya huruma na kuheshimu wanyama na mazingira yao mara nyingi ujisikii vizuri ukiona uharibifu wowote wa mazingira au mauaji/ukatili kwa viumbe hai.
10. Unajikuta wakati mwingi ukifurahia kulitizama anga nakustaajabia nyota, jua, mwezi n.k na unahisi kuna muunganiko fulani usioelezeka baina yako na vitu hivyo, unajaribu kudadisi nakutaka kujua mengi kuhusu mizunguko,uwepo na nguvu zake.
11.Unajikuta mara kadhaa ukijaribu kuunda au kujaribu kufanya uchawi pasipo kukusudia au kung'amua.
12. Waamini kuwa miujiza ni nguvu za ukweli, ambazo zinaweza kutumiwa kwa mazuri au mabaya itategemea na namna mtendaji wa miujiza hiyo atakavyoamua kuitumia.
13.Unaamini katika nguvu za kiakili (psychic power),mfano:-
*Claivoryance(uwezo wa kupata jumbe mbalimbali kupitia akili pasipo kuambiwa)
*Cleiraudience(uwezo wa kusikia sauti mbalimbali kupitia akili)
*Clairsentience(uwezo wa kuweza kuhisi nakujua pasipo kuona au kuambiwa) pia kuamini katika uwepo wa;
*Aura reading(hisia inayomzunguka kiumbe au kitu katika muundo wa rangi)
*Psychometry(uwezo wa kugundua ukweli kuhusu tukio au mtu kupitia kugusa kitu chenye mahusiano nacho)
*Telekinesis"mjongeo" au psychokinesis "nafsi" (ni uwezo wa mtu kuathiri mfumo halisi(kifizikia) bila ya kutangamana na uhalisia wenyewe) Mfano kutumia fikra kusogeza au kuvuta kitu n.k
*Preternatural(kufanya jambo nje ya uwezo wa kawaida au asili)
*Supernatural(uwepo wa nguvu isiyoweza elezeka kisayansi au kwa sheria za uhalisia(laws of nature))
*Divination(kitendo cha kutafuta maarifa ya mambo au hatima ya baadae au kupitia nguvu za supernatural)