Kwanini watu wa dini wanaepuka mijadala ya historia ya utumwa ya mwafrika

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Wakuu. Turejee
Kwenye historia tunajua kuwa waafrika tulitawaliwa. Mababu zetu walichapwa viboko na kulimishwa( historia inasema hivyo sio mimi)

Hata dini tuliletewa na haohao waliotuchapa viboko.

Swali langu ni je, kwanini ukimbananisha kiongozi wa dini wa kiafrika kuweka uhusiano kati ya ukoloni/utumwa na tunachofundishwa kwenye dini mara nyingi huwa wanaanza personal attacks bila kuleta facts na kuwa wakali

For example kuna kitabu kama song of lawino. Nina quote " they preach what they dont do and do what they do not preach" end of the quote.

So why kila ukijaribu ku reason na pasta huwa wanakua wakali sana. Hawataki kabisa kusikia historia ya utumwa. Hasa mapasta wa kiafrika.

Kwani kuna nini. Kama ilikua ni legal waafrika kutawaliwa na ilikua ni mapenzi ya Mungu tujue. Cha msingi tunataka tujue tu ilikuwa ni halali kuwa kwenye utumwa? Ni swali yu wakuu
 
Imani ya kikristo ilipelekwa rumi na mtume Paulo, na hao wataliano ndo wakaieneza huku kwetu, kuhusu utumwa waisraeli wenyewe wenye Mungu wao wameishi utumwani mara kibao, kwanza kule Misri zaidi ya miaka 400, utumwani babeli miaka 70 na pia waliwekwa kwenye himaya ya dola la kirumi na hata waingereza, nafikiri kupelekwa utumwani ndo ilikuwa fasheni ya kutawala watu enzi hizo.......kwa sasa utumwa upo kwa stahili nyingine inayoitwa ukoloni mamboleo, so take it easy...
 
Imani ya kikristo ilipelekwa rumi na mtume Paulo, na hao wataliano ndo wakaieneza huku kwetu, kuhusu utumwa waisraeli wenyewe wenye Mungu wao wameishi utumwani mara kibao, kwanza kule Misri zaidi ya miaka 400, utumwani babeli miaka 70 na pia waliwekwa kwenye himaya ya dola la kirumi na hata waingereza, nafikiri kupelekwa utumwani ndo ilikuwa fasheni ya kutawala watu enzi hizo.......kwa sasa utumwa upo kwa stahili nyingine inayoitwa ukoloni mamboleo, so take it easy...
Ukoloni maomboleo ndio kimekuwa kichaka cha waafrika kuhalalisha umasikini wao

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Waseme Nini labda!
Hawana la kusema hawa maamuma waliozisaliti dini zao za Asili?

Halafu serikali inakataza watu kusema dini za watu wachungaji wanaongoza kutusema Sana utakuta anatumia nguvu kubwa kukemea et
Mizimu ya wasukuma tokaaaaaa
Ya wa
Mizimu ya lyamba la mfipa tokaaa
Mizimu ya nyumbanitu tokaaaa
Ya Katerero tokaaaaa

Wachungaji mkome kuitaja Mizimu ya watu kwani mnaingilia imani za waafrika Asili mbona hua hamkemei Mizimu ya pale Maka na Jerusalem?
 
Kwani UTUMWA hautwajwi na VITABU VYAO VITAKATIFU?!!!

Tunawaonea sana....ilihali wala hawajachukua HATUA kufuta vipengele ili kuficha MAANDIKO MATAKATIFU JUU YA UTUMWA.......

***********************

Ukisoma UTUMWA ulikuwepo katika jamii zote duniani......

Mateka wa vita baina ya jamii moja na nyingine walichukuliwa UTUMWA........

******************
WATUMWA NDIO WALIOKUWA ni mashine za KUFANYIA kazi......
 
Kwani UTUMWA hautwajwi na VITABU VYAO VITAKATIFU?!!!

Tunawaonea sana....ilihali wala hawajachukua HATUA kufuta vipengele ili kuficha MAANDIKO MATAKATIFU JUU YA UTUMWA.......

***********************

Ukisoma UTUMWA ulikuwepo katika jamii zote duniani......

Mateka wa vita baina ya jamii moja na nyingine walichukuliwa UTUMWA........

******************
WATUMWA NDIO WALIOKUWA ni mashine za KUFANYIA kazi......
So una justify utumwa uendelee in a very simple statements like these.
Issue hapa ni kuelezea facts. Why aliekuchapa viboko ndie aliekupa dini na ukaipokea?
Dont justify. Evil is evil. There is no jistification for evil.
 
Kwani UTUMWA hautwajwi na VITABU VYAO VITAKATIFU?!!!

Tunawaonea sana....ilihali wala hawajachukua HATUA kufuta vipengele ili kuficha MAANDIKO MATAKATIFU JUU YA UTUMWA.......

***********************

Ukisoma UTUMWA ulikuwepo katika jamii zote duniani......

Mateka wa vita baina ya jamii moja na nyingine walichukuliwa UTUMWA........

******************
WATUMWA NDIO WALIOKUWA ni mashine za KUFANYIA kazi......
Mimi: kwa nn juma amemuua mdogo wangu na hajaoelekwa mahakamani.

Wewe: mbona rashidi, omary na enock wameua na hawajapelekwa mahakamani, kwa hiyo kuuana kupo tu ni jambo la kawaida.
 
So una justify utumwa uendelee in a very simple statements like these.
Issue hapa ni kuelezea facts. Why aliekuchapa viboko ndie aliekupa dini na ukaipokea?
Dont justify. Evil is evil. There is no jistification for evil.
I didn't justify evil....slavery is a worst and inhumane business ever...

My take was that there is no more slavery as it used to be and we can't tarnish religions just because some of their priests and sheiks did slavery....

Don't forget that even some Africa's societies did slavery against others in the continent...
 
Wakuu. Turejee
Kwenye historia tunajua kuwa waafrika tulitawaliwa. Mababu zetu walichapwa viboko na kulimishwa( historia inasema hivyo sio mimi)
Hata dini tuliletewa na haohao waliotuchapa viboko.
Swali langu ni je, kwanini ukimbananisha kiongozi wa dini wa kiafrika kuweka uhusiano kati ya ukoloni/utumwa na tunachofundishwa kwenye dini mara nyingi huwa wanaanza personal attacks bila kuleta facts na kuwa wakali

For example kuna kitabu kama song of lawino. Nina quote " they preach what they dont do and do what they do not preach" end of the quote.

So why kila ukijaribu ku reason na pasta huwa wanakua wakali sana. Hawataki kabisa kusikia historia ya utumwa. Hasa mapasta wa kiafrika.

Kwani kuna nini. Kama ilikua ni legal waafrika kutawaliwa na ilikua ni mapenzi ya Mungu tujue. Cha msingi tunataka tujue tu ilikuwa ni halali kuwa kwenye utumwa? Ni swali yu wakuu
Hata ukianzisha mada kuhusu kero ya kelele za kwenye baa utapata supporters, lakini leta mada kuhusu kulele za makanisa na misikiti utashambuliwa mpaka utafuta thread yako! Inapohusu dini watu hawawi neutral hata dini yake ikienda kinyume atasapoti tu.
 
Wakuu. Turejee
Kwenye historia tunajua kuwa waafrika tulitawaliwa. Mababu zetu walichapwa viboko na kulimishwa( historia inasema hivyo sio mimi)
Hata dini tuliletewa na haohao waliotuchapa viboko.
Swali langu ni je, kwanini ukimbananisha kiongozi wa dini wa kiafrika kuweka uhusiano kati ya ukoloni/utumwa na tunachofundishwa kwenye dini mara nyingi huwa wanaanza personal attacks bila kuleta facts na kuwa wakali

For example kuna kitabu kama song of lawino. Nina quote " they preach what they dont do and do what they do not preach" end of the quote.

So why kila ukijaribu ku reason na pasta huwa wanakua wakali sana. Hawataki kabisa kusikia historia ya utumwa. Hasa mapasta wa kiafrika.

Kwani kuna nini. Kama ilikua ni legal waafrika kutawaliwa na ilikua ni mapenzi ya Mungu tujue. Cha msingi tunataka tujue tu ilikuwa ni halali kuwa kwenye utumwa? Ni swali yu wakuu
Unasoma dini ama unahisi tu?

Kwenye uislamu utumwa huzungumziwa sana na ukitaka kufahamu vizuri, soma historia ya watumwa wenyewe.

Kipindi watumwa wanachukuliwa Africa wengi walikuwa ni waisilamu na dini za ki Africa, Sababu walikuwa makabila tofauti tofauti walimu wa madrasa waliokuwa na elimu kidogo ya kiarabu ndio waliwaunganisha wa Africa kudai haki zao.

Unajua kama kuna kipindi walipiga marufuku watumwa wa Kiisilamu Sababu walikuwa wanatengeneza awareness kwa watumwa wengine?

Unajua kama riots na vita vingi ambavyo watumwa walipigana viongozi wao walikuwa ni waisilamu?
 
Back
Top Bottom