Wanajamvi, kumekuwa na tatizo kubwa sana sugu ya maji kwa takriban mwaka mmoja sasa katika Manispaa ya Moshi na hasa zaidi katika viunga vya Manispaa hiyo kama vile Kariwa, Rau, Njiapanda, KCMC...
Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi...
Hawa watu kila unapofika uchaguzi wanaonekana kujiingiza matatizoni na vyombo vya usalama,wengi huishia kuuliwa na wengine kubak walemavu wa kudumu.....Hizo harakati zenu mnazozifanya haziwasaidii...
Habarini wadau,
Mbele yenu ninahitaji kupata chumba kimoja tu cha kuishi pale Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Shekilango au hata popote pale karibu na mji.
Nimesikia kuna ukiritimba na utapeli...
Sikatai muwakamate ila mnapowafuata bajaji na pikipiki mnawaomba docs zote wakiwa vituo vyao wanaonesha, bado mnawaambia waende kwenye defender asiyekuwa na hela anaondoka na polisi, hii sio haki...
Kama kuna vituko vya mwaka ni madiwani waliochaguliwa sasa.
Diwani anaitisha kikao na wananchi anatoa siku 21 keeys club kuifunga lakini eo ni mwezi wa pili nahisi, msikurupuke kitu ambacho hamna...
Ona sms walionitumia wahuni hawa(Vodacom)
Ndugu mteja, simu yako sio halisi.Tafadhali tembelea maduka yetu ya vodashop ili ujipatie simu halisi na kwa bei nafuu kuanzia Tsh 20,000. Wahi sasa...
KaMa kichwa cha habar hapo juu nakumbka nikiwa shule nlishuhudia watu wanapiga msuli mrfu wengi hupungua mwili kukonda japo kula wanakula vilevile kusikia njaa baada ya kupiga msuli...Hii hali...
Samuel Lundström 'Fundi Samweli' ni mtayarishaji wa Muziki kutoka nchini Sweden ambaye kwa miaka kadhaa amekuwa akifanya kazi hapa nchini, Project ya Muziki iliyofahamika kama Sauti za Afrika...
MKAZI wa Kijiji cha Ikondamoyo, Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, Veronica Salehe (54), aliyeoa wanaume wawili kwa kipindi cha miaka tisa amefariki dunia.
Akizungumza na waandishi wa habari juzi...
Baada ya kutuma EMEI ya simu yangu kwenda namba 15090,nilijibiwa hv;
Samsung Korea - Samsung SM-J200H - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016...
Wahusika kama mnapitia humu okeoni watu Musoma vijijini, ninapoandika bandiko hili katika kijiji kimoja tu cha Chitare kuna vifo vipya vitano (misiba mitano) mheshimiwa mbunge Pro Mhongo wapiga...
wadau humu ndani, hebu nisaidieni....
haya mashindano ya ZAIN kwa vyuo vikuu Africa, hivi vya Tanzania ni kwamba wanafunzi wetu ni mazoea ya kudesa au kuna tatizo jingine... mbona kila wakati...
Sasa siyo siri tena kuwa maisha yamekuwa magumu ambapo kama usipokuwa mbunifu unaweza kujikuta hela / pesa yako yote ya mshahara unagawana na makondakta na kuishi maisha magumu sana.
Hivyo...
Raia kumi wa Kenya wameituhumu Serikali ya Tanzania, kwa kukamatwa kwa kuwateka jijini Maputo nchini Msumbiji Januari 2006, ambako walikuwa wakiishi kihalali wakitafuta fursa za biashara, na kisha...
Wakuu nitawajuza baadae kama nitaimaliza siku salama bila kutiwa mikononi mwa police kwani habari ni ndefu kidogo
Ila kwa kifupi kuna mtu nimezinguana nae kibiashara loading...
Update...
Kuna...
Meneja wa Miundombinu wa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Mhandisi Mohamed Kuganda (kulia), akitoa maelekezo kwa wadau wa usafirishaji jijini Dar es Salaam jana.
Wakala wa Mradi...
Hbr Ya Asbh Wanajamvi, Naomba Kujua Hili Suala La Kubana Au Kupunguza Matumizi Ya Serikali, Kumbe Lina Mipaka!!!?? Maana Kati Ya Maeneo Ambayo Serikali Inapoteza Pesa Na Wajanja Wanapiga Mapesa Ni...