Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano alipokuwa katika sherehe za kuwaapisha baadhi ya wateule wake pale Ikulu alisema kwamba wauza unga sio watu wa mchezo mchezo maana wanaweza kubadili hata sauti yako...
HII nimeikuta kwa kiongozi wa kikosi cha utetezi wa kweli.... Mwanamama korofu kiboko ya wababe.... Mange Kimambi akijaribu kutuelezea uzinduzi wa leo wa barabara
Unachapisha Gazeti leo Kurasa 20,. lakini hakuna mahali popote limeripoti Msiba wa Kitaifa wa Sir George Kahama (Mmoja wa waasisi wa Taifa hili)...ni mwendo wa Propaganda za Kisiasa ktk kurasa...
Mtoto mmoja jijini Mwanza amefariki baada ya kuangukiwa na jiwe kichwani baada ya kuporomokea kwenye nyumba yao wakiwa wamelala ndani.
Chanzo: Mwananchi
Habari wana JF
Hata kama wewe ulikuwa unashika mkia mkoani, huwezi shindwa kuongoza wanaume wa Dar.
Wao hata wakijua udhaifu wako sana sana watakusuta katika ibada na mitandao ya kijamii...
Jeshi la polisi Sumbawanga manuspaa wamekamata mihadarati kwenye basi la abiria maarufu kama mabwe safaris yanayofanaya masafa ya kwenda mabwe/mpakani mwa Zambia na Tanzania
Unga huo ulikuwa...
Enzi za mwalimu nakumbuka alikuwa mh Dr Mwakyusa,ni utaratibu wa viongozi wakuu kuwa na madaktari hususani Raisi na waziri mkuu
Je madaktari wa hawa viongozi wa juu wa awamu ya nne ni akina nani...
Mafuriko katikati ya mji leo. Tunaomba Mh. Daudi Bashite RC mkuu wa ubunifu atuondolee tatizo hili. Tena imekuwa vizuria amerudi wakati muafaka siyo azindue barabara mpya tu. Atengeneze pia miundo...
Habarini za asubui.wana Jf, wakubwa zangu shikamooni wadogo habari zenu!!
Wakuu kwa upande wangu mimi sioni kama kuna haja ya mtu kujivunia kuwa kabila fulan tena mbele za watu ,kwa sababu...
Arfi Said aligombea kura za maoni Ubunge CCM Jimbo la Mpanda Mjini 2015 ...eti Leo wanasema amejiunga na CCM na wanampokea .....What a shame?
Mwingine Moses Machali aliyejiunga na CCM mwezi...
JE INAWEZEKANA MUNGU NDIYE AMEAMUA KUMUUMBUA GWAJIMA AU GWAJIMA HAKUMPANGA VIZURI YULE MAMA??
Nimetazama kwa makini video (video nimeiweka kwenye comment) inayomuonyesha Mchungaji Gwajima...
•Kaa na wafanya biashara wote uone changamoto zao na kwa nini biashara zimedumaa.
•Tutengenezee kodi jiji / kila mkazi na anayeingia jijini dar awe akitozwa kwa mwaka.
•Hakikisha jiji linaoperate...
Ni kawaida kwa watu kuficha na wakati mwingine kudanganya umri wao pengine kwa kuhofia kuonekana ama wadogo sana au wakubwa zaidi katika kundi la watu.
Utafiti uliofanywa unadai unaweza kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.