Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja...
Wengi huogopa kwenda nje ya nchi kutafuta maisha.Ili kujifunza angalia vipindi vya DARING ABROAD VYA WAKENYA ambavyo viko kibao kwenye youtube.Andika kwenye google DARING ABROAD KENYA YOUTUBE...
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji. Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ila maeneo yapo...
Serikali kupitia Wizara Ya Afya imevifuta Vituo vyote vinavyotoa huduma za Afya ya VVU Na Ukimwi kwa Makundi Maalum baada ya kubainika kwamba Vituo hivyo vinahusika na kuhamasisha Mapenzi ya...
Mfumo Mpya wa Kutumia Namba za Simbu Kuanzishwa Mwezi Ujao,Utaruhusu Kuhama Mtandao Mmjoa Kwenda Mwingine Bila Kununua Laini Mpya.
Mfumo mpya wa matumizi ya namba za simu (Number Portability)...
Wadau habari zenu?
Kuna trafiki mmoja mweupe na ni kijana,Leo(14/2/17) amekuwepo eneo la eneo Memorial(high way ya Arusha to MOSHI). Huyu trafic amezidi kusimamisha magari na kuyatafutia makosa...
Hakuna asiejua ni ujasiri kiasi gani aliojivika ndugu yetu na kiongozi wetu mwenye nia ya dhati na uchungu kwa vijana (maana ndio wahanga wakubwa) wanao angamia katika janga la dawa za kulevya...
Hakuna asiejua ni ujasiri kiasi gani aliojivika ndugu yetu na kiongozi wetu mwenye nia ya dhati na uchungu kwa vijana (maana ndio wahanga wakubwa) wanao angamia katika janga la dawa za kulevya...
Inauma sana kusikia au kuona ndgu zako wanaumia,wanateseka,huku hakuna juhudi yeyote
Hawa msumbiji tumewasaidia wenyewe FRELIMO,ukija south africa halikadhrika india ndugu zetu walipigwa...
Wana Jf
Hi.
Niko Dar, nataka kuja kijijini kwenu kununua vyakula ili kisha nije kuuza Dar. Naomba kujua bei za vyakula vifuatavyo huko uliko ili niweze kufanya tathmini ya faida/hasara:-
(i)...
Leo nimemsikia kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam kupitia kipindi cha michezo cha radio moja akidai vipimo vya mkemia mkuu vimeonyesha kuwa Manji anatumia madawa ya kulevya hivyo bado...
KUHUSU YANAYOTOKEA MSUMBIJI
Ni vema sasa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ikachukua hatua dhidi ya mauaji,utesaji,unyanyasaji,ufilisiwaji unaofanywa kwa Watanzania waishio Msumbiji...
Wakati wakazi wa Kagera na Mwanza wakisubiria ahadi hewa ya miaka mingi ya serikali ya kuletewa meli mpya baada ya kuzama kwa MV Bukoba, kampuni binafsi ya Uganda ya Equetorial Wild Safaris...
!
!
Samahani sana wadau.....Naomba kwa anayejua njia ya kuondoa uchafu kwenye pasi, moja na mbili ni nini cha kuzingatia ili uchafu huo usijirudie katika [asi ya umeme.
Pasi ya nyumbani kwangu...
Jay Bennett,Popular Mechanics Tue, Feb 14 9:13 PM GMT+3
From Popular Mechanics
Back in December, Donald Trump caused a rucks when he tweeted that the costs for replacing Air Force One jets...
Mm naomba kuuliza kwani ugolo sio dawa za kulevya maana vijana wengi wana tumia ugolo kama wana kataza bangi unga wakataze naugolo viroba wengi wame athirika na viroba pamoja na ugolo ukienda...
Nilikuwa Tanga hivi karibuni,likapita gari la matangazo,kukataza wafanyabiashara kupanga vitu nje,pamoja na wanaofanyabiashara barabarani.Inakuwa vigumu sana kwa watembea wa miguu,kupata sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.