Ni njia gani bora kabisa ya kukwepa kulipa nauli katika daladala?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,018
109,857
Sasa siyo siri tena kuwa maisha yamekuwa magumu ambapo kama usipokuwa mbunifu unaweza kujikuta hela / pesa yako yote ya mshahara unagawana na makondakta na kuishi maisha magumu sana.

Hivyo binafsi nimetafakari sana na nimeona kuwa inabidi nijiongeze ili maisha yaende sawa nimeamua sasa rasmi kuwa mbunifu kwa kukwepa kulipa nauli.

Tafadhali kama kuna member yoyote yule mwenye ujuzi mbadala wa kunifanya niweze kuwakwepa makondakta katika kuwalipa nauli zao au kuchengana nao mule mule ndani ya basi anisaidie na nitamshukuru mno.

Kila siku najitahidi kuwakwepa lakini wananishtukia tu.
 
Sasa Siyo Siri Tena Kuwa Maisha Yamekuwa Magumu Ambapo Kama Usipokuwa Mbunifu Unaweza Kujikuta Hela / Pesa Yako Yote Ya Mshahara Unagawana Na Makondakta Na Kuishi Maisha Magumu Sana.

Hivyo Binafsi Nimetafakari Sana Na Nimeona Kuwa Inabidi Nijiongeze Ili Maisha Yaende Sawa Nimeamua Sasa Rasmi Kuwa Mbunifu Kwa Kukwepa Kulipa Nauli. Tafadhali Kama Kuna Member Yoyote Yule Mwenye Ujuzi Mbadala Wa Kunifanya Niweze Kuwakwepa Makondakta Katika Kuwalipa Nauli Zao au Kuchengana Nao Mule Mule Ndani Ya Basi Anisaidie Na Nitamshukuru Mno.

Kila Siku Najitahidi Kuwakwepa Lakini Wananishtukia Tu.
PATA Kile kitambulisho cha Makonda ( jifanye mwalimu) Mbili tafuta zile suti za makondakta wa daladala vaa alafu wambie mimi ni staff. Jiandae utakapoulizwa gari gani uwe na jibu.
 
Njia bora nikuhifadhi risiti za daladala,halafu unakaa unajifanya unachati huku una risiti moja mkononi, konda akiona risiti anafikiri ulishalipa mda, hii ni njia rahisi, au unaweza ukawa umepanda na mtu anayeshuka mapema akakuachia risiti yake halafu utaionesha pale itakapohitajika.....
Kazi ni kwako
 
Sasa Siyo Siri Tena Kuwa Maisha Yamekuwa Magumu Ambapo Kama Usipokuwa Mbunifu Unaweza Kujikuta Hela / Pesa Yako Yote Ya Mshahara Unagawana Na Makondakta Na Kuishi Maisha Magumu Sana.

Hivyo Binafsi Nimetafakari Sana Na Nimeona Kuwa Inabidi Nijiongeze Ili Maisha Yaende Sawa Nimeamua Sasa Rasmi Kuwa Mbunifu Kwa Kukwepa Kulipa Nauli. Tafadhali Kama Kuna Member Yoyote Yule Mwenye Ujuzi Mbadala Wa Kunifanya Niweze Kuwakwepa Makondakta Katika Kuwalipa Nauli Zao au Kuchengana Nao Mule Mule Ndani Ya Basi Anisaidie Na Nitamshukuru Mno.

Kila Siku Najitahidi Kuwakwepa Lakini Wananishtukia Tu.
Ni rahisi sana jibu ni kutembea kwa miguu. kama bado wanakudai washitaki polisini.
 
Vaa sare kama zao wakikuona wanajua kondakta mwenzao akikuhoji unamwambia unafata gari lako gereji au kutuon
 
Waambie wewe staff.konda mwenzake au dereva.kuna jamaa nilipanda nae gari tukashuka ilala boma.konda anataka nauli jamaa akajibu staff.kumbe muongo.anauza mitumba karume
 
Umenikumbusha enz hizo nafanyia kazi kimara home kawe ukweli nilikuwa sina kitu badae konda akinifaata nilikuwa najibu kwa hasira"nalipa Mara mbili ama? Bas konda alikuwa anahamia mtu mwingne huku anasema samahan bro wakat wa kurudi hvyohvyo mpaka ikafika mahali wakanikalili akibidi nisalimu amri tu.
 
Mkuu hapo mchezo mdogo tu unafanya then unasafiri bure, kinda akifika karibu yako jifanye uko bize na kitu flani unamwambia nakupa baadae makonda wengi huwa hawakumbuki tena kudai chake.

Sasa Siyo Siri Tena Kuwa Maisha Yamekuwa Magumu Ambapo Kama Usipokuwa Mbunifu Unaweza Kujikuta Hela / Pesa Yako Yote Ya Mshahara Unagawana Na Makondakta Na Kuishi Maisha Magumu Sana.

Hivyo Binafsi Nimetafakari Sana Na Nimeona Kuwa Inabidi Nijiongeze Ili Maisha Yaende Sawa Nimeamua Sasa Rasmi Kuwa Mbunifu Kwa Kukwepa Kulipa Nauli. Tafadhali Kama Kuna Member Yoyote Yule Mwenye Ujuzi Mbadala Wa Kunifanya Niweze Kuwakwepa Makondakta Katika Kuwalipa Nauli Zao au Kuchengana Nao Mule Mule Ndani Ya Basi Anisaidie Na Nitamshukuru Mno.

Kila Siku Najitahidi Kuwakwepa Lakini Wananishtukia Tu.
 
Kutolipa nauli konda ukiamua unaweza Zipo njia kadhaa, ila mimi nimeacha maana nafsi imenisuta. Elewa hivi sio kila Mara konda anapotingisha coin kudai nauli anajua hujalipa, katika saikolojia wewe unadhani konda amenotice hujalipa , just guessing most of time hasa akiwa amekusanya nauli mwanzo na kukawa na flow ya watu kupanda Na kushuka njiani. Kama unapandia kituo cha katikati na konda alishakusanya nauli mapema ni rahisi Kutolipa hasa mida ya jioni.. Mida ya jioni unaweza fululiza hata wiki mzima Bila kulipa. Hakikisha ukipandia njia rudi nyuma kabisa, konda akianza Kuja jifanye uko bize na simu au angalie nje, akisema hapo kausha utaona anakupita.. Hiyo Imenitoke Mara nyingi. Lakini nilshaacha hiyo Tabia.
 
Back
Top Bottom