If there was a time when the Church And mosque needed to pray was now! The world is worse now than Sodom and Gomorrah please rise up and pray!
Man's inhumanity to man. A bus was ambushed...
wanasiasa waongo,
madaktari waongo, wa kichwa anapasuliwa mguu na wa mguu anapasuliwa kichwa.
Wachina , Wamerekani na Warusi wote waongo,
Wanaume waongo ,
wanawake waongo,
Mashehe waongo...
Nimejaribu kufuatilia hizi NGOs zinazoanzishwa hapo Ikulu baada ya utawala mpya kuingia madarakani. Hapo mwanzo nilijua ya kwama 'Fursa sawa kwa wote" ni mali ya watanzania chini ya usimamizi wa...
GGA FUNERAL
A Tanzanian family was puzzled when the coffin of their dead mother arrived from the US . It was sent by one of her daughters. The dead bodywas so tightly squeezed inside the coffin...
Kutakuwapo na mgao wa umeme katika mikoa yote ya Tanzania Bara kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne usiku kila siku,Kaimu Mkurugenzi wa Tanesco Stephen Mabada amesema leo.
Katika taarifa yake kwa...
Wandugu, Nahisi kuna mgao unaoendelea Tanesco kwani huku Arusha ikifika saa moja jioni matatizo! Je kwa vile Tanesco ni damudamu na CCM wanaogopa wakitangaza kipindi hiki kura hazitatosha? Vipi...
Nimesikia taarifa kuwa TBC1 wanaanzisha kipindi kitakachoitwa "Selebuka"
Kwa uelewa wangu ni kwamba wameiga mfumo wa "Strictly come Dancing" au "Dancing with the Stars" vilivyoanzia Uingereza...
Habari wakuu.
Nina rafiki zangu wanataka kwenda Matema Beach wakati wa Easter. wanahitaji kujua mengi kuhusu Matema beach, lakini pia wana option mbili, kuchukua usafiri binafsi kutoka Arusha au...
Nipo nasikiliza Jahazi kutoka Clouds FM....
Kitu sijakipenda ni namna Kibonde ametumia kipindi cha leo kusema maneno mbofumbofu dhidi ya Sugu....asili ya ugomvi ukiwa ni mradi wa Zinduka...
Mi...
About 4 years back, nilienda Nairobi, wakati natembea downtown mchana, walinitokezea mijitu minne mirefu na meusi titii! Ilinizunguka huku wakiwa na visu, sikutaka kuleta kukuru kakara kwa kuwa...
Hii ni kwa mujibu wa Tovuti ya WAVUTI...
Kuna watu wana tabia ya kiherehere, wanaopenda kubofya bofya kila linki wanayopokea hasa pale inapohusu habari za kustua ama gumzo dhidi ya watu...
Kuna rafiki yangu amenitumia email hii ambayo imenishtua kiasi fulani. Wanajamii forum hebu tuichunguze na kuijadili kuona kama ina ukweli wowote.
"Habari ndio hiyo, uamuzi ni wako
Kwa mujibu wa...
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NDANI YA ULIMWENGU WA ULIMWENGU TBC 1.
Jana tarehe 16/march/2010, Msajili wa vyama vya siasa alikuwa mgeni mwalikwa katika kipindi cha ulimwengu wa ulimwengu...
Nina Hofu sana na Hatma ya Afro.
Nakumbuka huyu bwana alianzisha Thread moja Nzito yenye Tittle ''joseph Kussaga na ufisadi wake katika entertainment Tanzania''
Huyu bwana alikua anawakiliosha...
Naomba msaada wana jamii.
Ms Excel file zangu zenye rekodi za biashara kwa miaka 3 iliyopita zime "corrupt" na haziwezi kufunguka. Nimeelezwa nikipata software ya kurepair au recovery basi...
March 15 ni maadhimisho ya siku ya mlaji duniani. Nami kama Mtanzania ni mara yangu ya kwanza kusikia maadhimisho ya siku hii katika taifa letu. Nakiri kuwa sijapata nafasi ya kutosha kujua nini...
Wakuu naombeni msaada! Nina ujumbe wa vijana wangu saba nawatuma kuelekea Tanga kibiashara, wote ni wageni mkoa wa Tanga. Naombeni mnijuze hotel za kati zenye kiwango kati ya Tsh. 15,000 na Tsh...
Hapa sijaelewa,Mwananchi mmoja huko Lindi aliuwawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kukutwa akiiba kuku!
Mambo haya yamezoeleka tuu , kwani Kamanda wa Polisi amesema...
SHEIKH YAHYA ANUSURIKA KUUAWA
Habari zisizo na shaka zinasema kuwa mashabiki hao, wengi wao wakiwa wa Klabu ya Simba, walivamia nyumbani kwa mnajimu huyo kwa lengo la kumrudi kutokana na kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.