jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 174
- 44
Nina Hofu sana na Hatma ya Afro.
Nakumbuka huyu bwana alianzisha Thread moja Nzito yenye Tittle ''joseph Kussaga na ufisadi wake katika entertainment Tanzania''
Huyu bwana alikua anawakiliosha ujumbe wake katika mtiririko fulani. cha kushangaza huyu bwana alipotea ghafla. bila hata kumalizia uchambuzi wa ththread yake.
Hofu yangu ni kutaka kujua what Hapened to this guy. inawezekana alipewa ban? nini kitakua kimetokea kwa huyu bwana. Kwa jinsi alivyokua anaelezea mada yake, ni thahiri kabisa kama kusaga alikua anasoma ile thread ni lazima alijua mwandishi ni nani?
What the hell happened to this guy?
Nakumbuka huyu bwana alianzisha Thread moja Nzito yenye Tittle ''joseph Kussaga na ufisadi wake katika entertainment Tanzania''
Huyu bwana alikua anawakiliosha ujumbe wake katika mtiririko fulani. cha kushangaza huyu bwana alipotea ghafla. bila hata kumalizia uchambuzi wa ththread yake.
Hofu yangu ni kutaka kujua what Hapened to this guy. inawezekana alipewa ban? nini kitakua kimetokea kwa huyu bwana. Kwa jinsi alivyokua anaelezea mada yake, ni thahiri kabisa kama kusaga alikua anasoma ile thread ni lazima alijua mwandishi ni nani?
What the hell happened to this guy?