Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
"Halooo nipigie mm............".kataja jina lake eeeh nakaa cnhang'ombe Tra,haya kwaiyo unakuja kesho?saw karibu"
"Dada kesho shemeji yangu anakuja kunitembelea"nikamjibu
"Mbona shemeji yako na si dada yako kama ulivyosema"mana si ulisema unampigia dada yako?"
"Dada kasema yuko busy"
haya hamna shida next time mwambie aje jpili mmm nakuwa nyumbani ili tufahamiane sawa?"
"Sawa"
hayo yalikuwa ni maongezi kati yangu na msichana anaenisaidia kazi nyumbani kwangu,asubuhi kesho yake nikaamka na kwenda kazini kama kawaida nikamwachia majukum ya kufanya on that dei,ilikuwa ijumaa nawahi kidogo kutoka kazini,mmmh kuna washkaji wameniita sehem ,but roo inaniambia nirudi hme,nikarudi kufika getini nakuta liko wazi halijafugwa,kuingia se second gate liko wazi,mmmmh nikastuka kufungua mlango wa kwanza umerudishiwa tu,kufika sitting pako wazi,nikaanza kuita kimnya hakuna anae jibu,nikastuka,kuingia chumbani kwa dada hakuna nguo zake!!!!!!!!!!nikashusha pumzi ndefu,kuingia chumbani kwangu!tobaaaaaaa,laptop hakuna,kulikuwa na simu za watu kama mbili nilileta waliniagiza hakuna,nguo za mtoto hakuna,Mungu wangu yani nimeibiwa!kwakweli nilichanganyikiwa sana,basi ndivyo nilivyoibiwa na msichana wa kazi,nikatoka hapo nikaenda xul kumcheki mtoto asije kuwa kabwebwa n Thank God alikuwa salama.Nikaenda kutoa taarifa police,mpaka sasa sijajua hata yuko wapi.
The next weeek(jana nakuja job kuwaelezea friends wamesikitika sana about it,but pia wao wakawa na matatizo,mmoja juzi wakati anaomba msichana akaoiga yote "naungua jamani"baada ya sala msichana akaanza kulia na kuomba ruhusa eti aende kwao,sijui ndo uchawi wenyewe huu,mwingine kaamka eti amekutwa amechanjwa kila ikifika saa ya kufanya maombi eti msichana wake yuko busy mara anaosha vyombo mara anadeki!yani ilimradi asisali tu.
jamani sijui kuelezea kwa kirefu but thats how it happend Mungu ni mwema vitu vinatafutwa mybe angefanya makubwa zaidi ya hayo,jamani mkiwa nyumbani msisahau silaa yenu kubwa ya maombi maana hayo ndio yaponyayo.Hayo ndiyo yalonikuta mwenzenu wknd hii kabla sijasafiri.
"Dada kesho shemeji yangu anakuja kunitembelea"nikamjibu
"Mbona shemeji yako na si dada yako kama ulivyosema"mana si ulisema unampigia dada yako?"
"Dada kasema yuko busy"
haya hamna shida next time mwambie aje jpili mmm nakuwa nyumbani ili tufahamiane sawa?"
"Sawa"
hayo yalikuwa ni maongezi kati yangu na msichana anaenisaidia kazi nyumbani kwangu,asubuhi kesho yake nikaamka na kwenda kazini kama kawaida nikamwachia majukum ya kufanya on that dei,ilikuwa ijumaa nawahi kidogo kutoka kazini,mmmh kuna washkaji wameniita sehem ,but roo inaniambia nirudi hme,nikarudi kufika getini nakuta liko wazi halijafugwa,kuingia se second gate liko wazi,mmmmh nikastuka kufungua mlango wa kwanza umerudishiwa tu,kufika sitting pako wazi,nikaanza kuita kimnya hakuna anae jibu,nikastuka,kuingia chumbani kwa dada hakuna nguo zake!!!!!!!!!!nikashusha pumzi ndefu,kuingia chumbani kwangu!tobaaaaaaa,laptop hakuna,kulikuwa na simu za watu kama mbili nilileta waliniagiza hakuna,nguo za mtoto hakuna,Mungu wangu yani nimeibiwa!kwakweli nilichanganyikiwa sana,basi ndivyo nilivyoibiwa na msichana wa kazi,nikatoka hapo nikaenda xul kumcheki mtoto asije kuwa kabwebwa n Thank God alikuwa salama.Nikaenda kutoa taarifa police,mpaka sasa sijajua hata yuko wapi.
The next weeek(jana nakuja job kuwaelezea friends wamesikitika sana about it,but pia wao wakawa na matatizo,mmoja juzi wakati anaomba msichana akaoiga yote "naungua jamani"baada ya sala msichana akaanza kulia na kuomba ruhusa eti aende kwao,sijui ndo uchawi wenyewe huu,mwingine kaamka eti amekutwa amechanjwa kila ikifika saa ya kufanya maombi eti msichana wake yuko busy mara anaosha vyombo mara anadeki!yani ilimradi asisali tu.
jamani sijui kuelezea kwa kirefu but thats how it happend Mungu ni mwema vitu vinatafutwa mybe angefanya makubwa zaidi ya hayo,jamani mkiwa nyumbani msisahau silaa yenu kubwa ya maombi maana hayo ndio yaponyayo.Hayo ndiyo yalonikuta mwenzenu wknd hii kabla sijasafiri.