Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
Nipo nasikiliza Jahazi kutoka Clouds FM....
Kitu sijakipenda ni namna Kibonde ametumia kipindi cha leo kusema maneno mbofumbofu dhidi ya Sugu....asili ya ugomvi ukiwa ni mradi wa Zinduka...
Mi ufahamu wangu ni kuwa Zinduka haikuwa na ukweli wowote kutoka katika nafsi za waandaaji zaidi ya kuwa ni mradi wa kutengeneza pesa kama vile tunavyofahamu kuwa waingiaji pale walitoa kiingilio....tofauti na miradi mingine mfano ya ukimwi n.k.
Naamini kuna mengi katika hili suala ambayo siyajui....naomba wajuvi wanipe info zaidi..
Kitu sijakipenda ni namna Kibonde ametumia kipindi cha leo kusema maneno mbofumbofu dhidi ya Sugu....asili ya ugomvi ukiwa ni mradi wa Zinduka...
Mi ufahamu wangu ni kuwa Zinduka haikuwa na ukweli wowote kutoka katika nafsi za waandaaji zaidi ya kuwa ni mradi wa kutengeneza pesa kama vile tunavyofahamu kuwa waingiaji pale walitoa kiingilio....tofauti na miradi mingine mfano ya ukimwi n.k.
Naamini kuna mengi katika hili suala ambayo siyajui....naomba wajuvi wanipe info zaidi..