Mr. Miela
JF-Expert Member
- Aug 2, 2007
- 1,226
- 2,055
Wandugu, Nahisi kuna mgao unaoendelea Tanesco kwani huku Arusha ikifika saa moja jioni matatizo! Je kwa vile Tanesco ni damudamu na CCM wanaogopa wakitangaza kipindi hiki kura hazitatosha? Vipi mitambo iliyowashwa kwa kodi zetu? Chama cha walaji kina msaada kwetu?