Kiroroma
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 370
- 114
Hapa sijaelewa,Mwananchi mmoja huko Lindi aliuwawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kukutwa akiiba kuku!
Mambo haya yamezoeleka tuu , kwani Kamanda wa Polisi amesema kirahisi tu kuwa " polisi wamethibitisha ameuwawa na wananchi wenye hasira kali".Sasa swali langu ni mmoja kama hasira kali za wananchi zinatawala utawala wa sheria basi hata watuhumiwa wa EPA,Rada,Richmond,na wahujumu uchumi wengine watoswe basi tuwamalize kwa hasira kali za wananchi!!Iweje wao wasalimike vibaka roho zao zilinganishwe na thamani ya kuku?
Mambo haya yamezoeleka tuu , kwani Kamanda wa Polisi amesema kirahisi tu kuwa " polisi wamethibitisha ameuwawa na wananchi wenye hasira kali".Sasa swali langu ni mmoja kama hasira kali za wananchi zinatawala utawala wa sheria basi hata watuhumiwa wa EPA,Rada,Richmond,na wahujumu uchumi wengine watoswe basi tuwamalize kwa hasira kali za wananchi!!Iweje wao wasalimike vibaka roho zao zilinganishwe na thamani ya kuku?