Ni Kweli WALKING SYSTEM ya DAR tofauti na ya NAIROBI??

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
About 4 years back, nilienda Nairobi, wakati natembea downtown mchana, walinitokezea mijitu minne mirefu na meusi titii! Ilinizunguka huku wakiwa na visu, sikutaka kuleta kukuru kakara kwa kuwa nilihofia watanidhuru, walinisachi na kunichukulia simu na wallet iliyokuwa na 700 usd na kupotea huku kukiwa na watu wengi sana, lakini nobody cared!.. Nilifanikiwa kurudi Dar, nikakutana na rafiki yangu mmoja Mkenya nikamsimulia masibu yaliyonikuta, kisha nikamuuliza kwa nini ile mijizi imeacha watu wote na kunivamia mimi? Alichonijibu kiliniwacha hoi, Aliniambia kuwa wale wezi kabla hawajamvamia mtu kwanza wanaangalia WALKING SYSTEM yake, Na WALKING SYSTEM ya Dar is quite different from Nairobi, na akaniambia pia kuwa kama huamini nenda Msimbazi round about uangalie watu wanavyotembea! Utawaona wanaburuza miguu kama misenge misenge!....Wana JF kuna ukweli wowote ya juu ya hili jambo??
 
About 4 years back, nilienda Nairobi, wakati natembea downtown mchana, walinitokezea mijitu minne mirefi na meusi! Ilinizunguka huku wakiwa na visu, sikutaka kuleta kukuru kakara kwa kuwa nilihofia watanidhuru, walinisachi na kunichukulia simu na wallet iliyokuwa na 700 usd na kupotea huku kukiwa na watu wengi sana, lakini nobody cared!.. Nilifanikiwa kurudi Dar, nikakutana na rafiki yangu mmoja Mkenya nikamsimulia masibu yaliyonikuta, kisha nikamuuliza kwa nini ile mijizi imeacha watu wote na kunivamia mimi? Alichonijibu kiliniwacha hoi, Aliniambia kuwa wale wezi kabla hawajamvamia mtu kwanza wanaangalia WALKING SYSTEM yake, Na WALKING SYSTEM ya Dar is quite different from Nairobi, na akaniambia pia kuwa kama huamini nenda Msimbazi round about uangalie watu wanavyotembea! Utawaona wanaburuza miguu kama misenge misenge!....Wana JF kuna ukweli wowote ya juu ya hili jambo??
BAsically and unfortunately that's a fact. Kule watu wanatembea haraka kama vile chini kunaunguza na wanachelea kuuweka mguu kwa muda mrefu bila ya kuunyanyua fasta usiungue!
Bongoland kama ujuavyo watu wanatembea kama hawataki / hawana haraka.
 
About 4 years back, nilienda Nairobi, wakati natembea downtown mchana, walinitokezea mijitu minne mirefi na meusi! Ilinizunguka huku wakiwa na visu, sikutaka kuleta kukuru kakara kwa kuwa nilihofia watanidhuru, walinisachi na kunichukulia simu na wallet iliyokuwa na 700 usd na kupotea huku kukiwa na watu wengi sana, lakini nobody cared!.. Nilifanikiwa kurudi Dar, nikakutana na rafiki yangu mmoja Mkenya nikamsimulia masibu yaliyonikuta, kisha nikamuuliza kwa nini ile mijizi imeacha watu wote na kunivamia mimi? Alichonijibu kiliniwacha hoi, Aliniambia kuwa wale wezi kabla hawajamvamia mtu kwanza wanaangalia WALKING SYSTEM yake, Na WALKING SYSTEM ya Dar is quite different from Nairobi, na akaniambia pia kuwa kama huamini nenda Msimbazi round about uangalie watu wanavyotembea! Utawaona wanaburuza miguu kama misenge misenge!....Wana JF kuna ukweli wowote ya juu ya hili jambo??

bwabwa una visa wewe.....mmhhh
 
Huyu mtu anayeitwa bwabwa anavituko huyu. Duuh! Sasa walikuwa wanajua unajiitaje mpaka wakakuvamia?
 
kwa hiyo hivi ndivyo ulivyo na unavyotembea.

What do you expect from the so called BWABWA-Vp matumizi ya lugha hapo wakuu? Kwahiyo hiyo mijitu inakaa inasubiri wabongo tu? Wacha kamba hapa bana, warwanda wanatembeaje nao? Kwasababu ulikuwa unatembea kibwabwa hawakukufanza mchezo mbay weye?
 
haha hahahaha......nimecheka mpaka nimewashtua watu.....ni kweli kabisa hii story inaeleza hali halisi ya wabongo walivyo
 
Bwabwaaaaaa!!!! Kwa kweli kila siku unanishangaza na mambo yako!!
 
Back
Top Bottom