Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
KATIKA hali ya kushangaza nyimbo za Taifa ziligoma tena kupiga kabla ya mechi ya Taifa Stars na Morocco kuanza kutokana na hitilafu katika vyombo vya kupiga nyimbo hizo. Nyimbo hizo zililazimika kupigwa kabla ya kipindi cha pili kuanza. Tatizo kama hili liliwahi kutokea katika mechi ya kirafiki kati ya Brazil na Taifa Stars ambapo wimbo wa timu ya Taifa ya Brazil uligoma kupigwa. Halafu mambo haya ya 'kiswahili' yanatokea mbele ya Kiongozi wa nchi, jamani!!
Je hii ni ishara?