Hebu fikiria!

pascaldaudi

JF-Expert Member
Mar 25, 2009
534
96
Kisha nikasikia sauti ikisema"Wafanyakazi wangu wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii tene wana elimu lakini hawana maarifa."Je hukuona mafisadi wakikamatwa bila kushtakiwa?Hukusikia JK akitamka hahitaji kura za wafanyakazi?Je elimu yako inakusaidiaje kutambua kuwa rasilimali za nchi zinachakachuliw a na wachache?mfano madini,samaki na wanyama pori?TANZANIA BILA JK INAWEZEKANA?
 
JE HAUKUSIKIA KUWA WOTE WALIOIBA FEDHA BOT WAZIRUDISHE HAWATASHTAKIWA NA MAJINA YAO HAYATATAJWA? NA KUWA MPAKA LEO HATUJAAMBIWA KUWA FEDHA ZOTE ZIMERUDI NA ZIMEFANYA NINI? JE HATUPASWI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA HAO?:hand:
 
JE HAUKUSIKIA KUWA WOTE WALIOIBA FEDHA BOT WAZIRUDISHE HAWATASHTAKIWA NA MAJINA YAO HAYATATAJWA? NA KUWA MPAKA LEO HATUJAAMBIWA KUWA FEDHA ZOTE ZIMERUDI NA ZIMEFANYA NINI? JE HATUPASWI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA HAO?:hand:

We quality vipi bana? Hela si zimesharudishwa na zimepelekwa kule kwenye kilimo kwanza, na nyingine kuanzisha benki ya kilimo?? cha ziada nini unataka?? wakati mtoto wa mkulima Mizengo alikwambia mafisadi wana nguvu na wakikamatwa nchi itatikisika au wewe hutaki amani na utulivu uliopo? Hata mwema mwenyewe alisema jeshi la polisi halina uwezo wa kuwakamata kwa sababu kwanza muungwana alisema anawajua wahujumu uchumi na amewapa nafasi wajirekebishe... alipohutubia bunge SIX akamwambia aache kuchekacheka nao kilichompata wote tunakijua.

Nafikiri Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo mwizi wa mabilioni anaambiwa arudishe atasamehewa wakati yule hakimu aliyekula buku tano ataenda jela kwa sababu kama ni kuiba alitakiwa aibe nyingi sio kidogo!!!!!

Hii ndio Tanzania ambayo jeshi limegeuka kuwa la Walanchi na sio la Wananchi kama ilivyokuwa enzi hizo!! Tumebaki na risasi moja tu ya kujaribu kujiokoa kwa kuhakiksaha unamlenga adui kichwani nayo ni Kadi yako ya kupigia kura>>> ukiona wanafaa warudishe waendelee na kazi yao, ukiona wamechoka wapumzishe mchague mwingine!!!!
 
je hukusikia kuwa mafisadi wa nchi hii ni watu safi,chapakazi na hodari?tafakari chukua hatua
 
Nchi imekwisha. Kweli kiongozi anadiriki kusema
1. Mafisadi wana nguvu, huwezi kuwashika!!?? Hii ni kauli ya nchi????
2. Warudishe hatutawataja!
Inatia hasira, CCM bye bye
 
Inawezekana ukafikiria na kutaka kuchukua hatua,tatizo bado ni fikra duni wengi wanazo hasa maeneo ya vijijini ambako shule za kata zinafanya kazi yake.
Kilichobaki si kufikiria bali ni kufanya uamuzi sahihi kwa wakati sahihi ambao ni huu kwa kuchagua mgombea ambaye ataleta maendeleo ya kweli.
 
Back
Top Bottom