pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Kisha nikasikia sauti ikisema"Wafanyakazi wangu wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii tene wana elimu lakini hawana maarifa."Je hukuona mafisadi wakikamatwa bila kushtakiwa?Hukusikia JK akitamka hahitaji kura za wafanyakazi?Je elimu yako inakusaidiaje kutambua kuwa rasilimali za nchi zinachakachuliw a na wachache?mfano madini,samaki na wanyama pori?TANZANIA BILA JK INAWEZEKANA?