Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Govt to protect jobs for citizens despite EA Common Market Labour movement ‘not so free’ By Arusha Times Correspondent Tanzania would continue to protect jobs for her citizens despite the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mtoto wa jamaa yangu wa karibu anatumia madawa ya kulevya muda mrefu – miaka kumi sasa. Katika kipindi chote hicho, Mzazi wake (Mama) kamsumbukia sana kupata suluhu ya kumfanya aache madawa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kulwa Mwaibale na Musa Mateja Askari Polisi mmoja wa kike Faraja Jabir, anayedaiwa kujifanya ni Sekretari wa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, kwa kushirikiana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna ombaomba mmoja kijana ambaye hupenda kuombea katika taa za salender, peugeot house na mktaba anakera kwa staili yake ya kufunua kidonda kikubwa kwenye paja lake la kushoto akidai anataka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
FUATILIA KWA MAKINI ALAFU TAFAKARI KWA KINA!! Hope this mail finds you well wapendwa just a small note to alert you be a bit cautious and vigilant on the imported goods kwny supermarkets...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naona hii kama ni kweli inatekelezwa ni ukombozi mkubwa kiuchumi kwa watanzania, itafungua macho wengi na kufungua hata opportunities za baadhi ya watu. Naona serikali inastahili kwa kazi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/8572380.stm Kama hawa watu wanakula hata ngoji katika karne ya 21,and it happens to be Africans,sio mbali na kwetu.Karamajong ,je Mungu atusaidiaje wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi naabudu kwenye lile kanisa. Pale panapofanyika miujiza ishara na maajabu ya kila namna. Mwingine nae anaabudu pale pengine, tunapoambiwa wanaabudu miungu mingine. Je kweli sisi tunaabudu kwa...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Msemo wa ifindu mafi (chakula ni mavi) umesaidia sana kabila la wanyakyusa hasa wanaoishi vijijini kusaidiana sana katika masuala ya chakula. Je kabila lenu wanatumia msemo gani? Wangindo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Makampuni ya Kenya yamechangamkia sana fursa za ushirikianao wa afrika ya mashariki, sasa Arusha imekuwa ni eneo maalum kwa uwekezaji kwa wakenya, lakini Tanzania hakuna tulalofanya labda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watatu wasadikiwa kushindwa kujikwamua. Juhudi za uokoaji zinaendelea
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau nimeona hilo chapisho pepe..kuna mwanachi aneona kanyayasika na utawala wa nyerere... hebu tulijadili hili! http://www.zanzinet.org/files/darkside.txt
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nimeona hilo chapisho pepe..kuna mwanachi aneona kanyayasika na utawala wa nyerere... hebu tulijadili hili! http://www.zanzinet.org/files/darkside.txt
0 Reactions
0 Replies
2K Views
http://www.bbc.co.uk/iplayer/episode/b00rgdrm/Cars_Cops_and_Criminals_Crossing_the_Line/
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bado naendelea kushangaa inakuwaje wanaume mnakuja kasi kiivi katika ulimwengu wa Taarabu.. zamani nilijua si fani yenu ukitizama kwenye majukwaa jinsi mnacheza taarabu..mmh waimbaji wa kiume kila...
0 Reactions
141 Replies
13K Views
Chama Cha Jamii (CCJ), Jumatatu ijayo kitakwenda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, kuomba usajili wa kudumu baada ya kutimiza sharti la kupata wanachama 2,000 katika mikoa 10. Chama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Geofrey Nyang'oro FAMILIA ya Musa Juma anayedaiwa kuuawa na polisi wa kituo cha Changombe jijini Dar es Salaam jana alishindwa kupata majibu ya awali ya uchunguzi wa kifo hicho baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
"Self Appraisal" A little boy went into a drug store, reached for a soda carton and pulled it over to the telephone. He climbed onto the carton so that he could reach the buttons on the phone...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndesamburo alisema hayo alipotakiwa na gazeti hili kutolea maoni kauli ya Rais Kikwete kuwa wanasiasa wanaokusudia kutoa, kuomba au kushawishi rushwa katika uchaguzi ujao, watakiona. "Hakuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WANAFUNZI 33,662 kati ya 39,189 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana na kufaulu, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano katika shule za Serikali na vyuo vya ufundi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom