Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Just days before Valentine's Day, an Asheville man and his wife of 46 years got a sweet surprise - to the tune of $141.4 million. Frank Griffin of Asheville, a retired firefighter with over 20...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa wizara hiyo, Agrey Mwanri. Winara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imesema imebaini matumizi mabaya ya fedha katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu Mchecheto wa Uchaguzi Mkuu 2010 umeanza kushika kasi, mpya yenye moto ni kuwa baadhi ya wagombea nafasi ya ubunge walioweka kambi yao Dar, wamechanga shilingi milioni 40 na kuita...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umesema hakuna mpasuko miongoni mwa viongozi wa umoja huo kama ilivyoripotiwa na gazeti moja la kila wiki la Mwanahalisi katika toleo lake namba 178...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MAHARUSI waliovamiwa na majambazi wilayani Tarime katika Kijiji cha Kinesi mwishoni mwa wiki hii, ambapo washerehekeaji watano wakiwemo ndugu na marafiki wa karibu wa maharusi hao waliuawa huku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KATIBU Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad jana alikutana kwa mara ya tatu na rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume mjini Unguja, katika mkutano ambao unaaminika kuwa ulikuwa wa kuzungumzia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa dini unayoamini shukuru mungu kwa uhai aliokupa mpaka leo hii unaenda kulala wengine wako akazini wanapigana na maisha usiache kuomba unapoamka na unapoallaala hata ukiwa free kazini kumbuka...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
MAKAMAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemruhusu mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya wizi wa sh bilioni 3.3 za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT)...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Waziri nmgeleja malizana na askofu kakobe kuhusu upitishwaji wa nyaya mmalizane kwa amani kwa niaba ya watanzania tuko nyuma yenu kwa maamuzi yoyote mtakayokubaliana Mungu awabariki na kuwalinda
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa miaka mingi sasa nimekuwa nikiwaza sana ni kwa jinsi gani tunaweza kuliunganisha bara letu la Afrika kwa gharama nafuu kabisa na kuweza kuwa na fursa ya kuweza kuona na kujua kila siku nini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WATU 24 wamekufa papo hapo na wengine 56 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la AM iliyotokea jana jioni eneo la mpaka kati ya Nzega na Igunga mkoani Tabora. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 10...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Pamoja na makosa yanayotokea serikalini kwakuangalia usemi wa hawa wenzetu wapinzani leo hii mrema akiongea kama msemaji wa CCM,sharrif ahmad akilazimisha karume kupewa miaka 2 siku za mwisho...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani. Nini iwe strategy ya vyama vya upinzani ile viweze kutoa changamoto kwa CCM. Mimi nadhani , kwanza vyama hivi vingekubaliana kusimamisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wa JF, Napenda kuwaletea tahadhari hii,juzi rafiki yangu alikuwa anatoka mjini saa tatu usiku, akirudi nyumbani kwake Sinza akipitia Bagamoyo Road. alipokuwa anapita daraja la...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Jamani kuna mtu amenigusa kidogo kwa kunihakikishia hawa mabwana apamoja na fighting yao ccm awakuwahi kurudisha kadi za CCM walipoamua kukiama hawa si wahaini wa kisiasa kweli???
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kweli nyani haoni kundule lake, hawa jamaa WAJUAJI wa clouds tena kupitia kipindi chao cha Power Breakfast show huwa wako mstari wa mbele kukosoa mambo mengi sana lakini leo nimewabamba. Website...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Wadau, Heshima mbele! Naomba kujuzwa, Utaratibu wa kumpata CEO wa shirika la umma/taasisi ya serikali/govt agency ukoje haswa hapa Tanganyika? Tumekuwa tukiona mara post inatangazwa, then...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hawa watu sijui niwaweke kundi gani nilipita pale manzese nikasema nimsalimie best yangu mmoja anauza yale mambo ya coffin baada ya muda ikaja benzi wanaitaji jeneza...wakaednda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watu wasemekeanao majambazi wamevamia harusi moja kwa kuingia na kuwaua watu watano na kuendelea kuwasha moto kwa wengine waliokuwa wakitafutwa,..habari zaiidi zinasema walipoingia walikuwa kama...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Salama sana; Wadau naombeni kuuliza website ya TBC ni ipi au nawao bado wanajiendesha kienyeji, hawana website?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom