Waafrika Tufanyeje?

Waafrika Tufanyeje?

Nilikuwa naangalia hizi news jana,ilibidi nifunge TV !
Tunaweza kuwalaumu Wazungu na bad news ,lakini hii ndio reality .Wakati Museveni na his family wanafuja mali ,watu wengi Northren wanaishi kweny ufukara mkuu.

I guess kuna Watanzania wenzetu wako katika hali hii somewhere deep in villages ambapo hata wabunge hawafiki.
Ndio maana hii stupidity ya EAC naipinga kabisa,haisaidii mwananchi wakawaida huko kijijini Mtwara,Singida,Shinyanga,Dodoma etc.Ni show man ya elites tu.

Kabla ya EAC,nchi binafsi zina matatizo mengi ,inatakiwa tusort out afya,elimu ,na kuraise maisha ya Watz huko vijijini kabla ya huu mradi feki wa EAC.
 
Back
Top Bottom