The Native Son
Member
- Jul 14, 2009
- 86
- 19
Ni kweli kabisa ila kwa uhakika ni mmoja na ndiye mwili uliokuwa wa kwanza kuokolewa alikuwa akiongea na kusikika wakati shughuli za uokoaji zilipokuwa zikiendelea siku ya kwanza. RIP Dickson Kadelema, Vedastus Wilfred Tandise na Joel Mathew Nicholas.RIP watanzania wenzetu. Hawa marehemu walikufa wanajiona hivhivi manake walinaswa muda mrefu sana wakiwa bado hai.
Ni kweli kabisa ila kwa uhakika ni mmoja na ndiye mwili uliokuwa wa kwanza kuokolewa alikuwa akiongea na kusikika wakati shughuli za uokoaji zilipokuwa zikiendelea siku ya kwanza. RIP Dickson Kadelema, Vedastus Wilfred Tandise na Joel Mathew Nicholas.
Ni kweli kabisa ila kwa uhakika ni mmoja na ndiye mwili uliokuwa wa kwanza kuokolewa alikuwa akiongea na kusikika wakati shughuli za uokoaji zilipokuwa zikiendelea siku ya kwanza. RIP Dickson Kadelema, Vedastus Wilfred Tandise na Joel Mathew Nicholas.
Maneno hayo kama vile ulimlishawewe CEO wa African Barrick Gold ABG bwana Dave Anthony! yapo onto!Kwa bahati mbaya jitihada za uokoaji hazikufanikiwa. Shughuli za uchimbaji zimesimamishwa kwa muda wa siku moja (Machi 18) kwa maombolezo kama ishara ya heshima kwa waliopoteza maisha. Eneo la tukio limefungwa mpaka hapo uchunguzi utakapokamilika na sababu ya ajali kujilikana na hatua kuchukuliwa.
Ndugu zetu waliopoteza maisha kutokana na ajali hiyo ni Bw. Dickson Kadelema (36), aliyeajiriwa mwaka 2003 na alikuwa akifanya kazi kama dereva wa mashine ijulikanayo kwa jina la Jumbo. Bw. Vedastus Wilfred Tandise (33), alikua mchimbaji ambaye alijiunga na mgodi mwaka 2008 pamoja na Bw. Joel Mathew Nicholas (34), ambaye pia alikuwa mchimbaji tangu mwaka 2007. RIP
Maneno katu hayawezi kuelezea huzuni kubwa tuliyonayo kwa kuwapoteza wafanyakazi wenzetu. Tuko pamoja na familia na marafiki zao katika fikra na maombi; na tunatoa heshima katika kuwakumbuka.
Sikuwa kikosini mkuu Senator ila ni kiasi cha kuguswa na kufuatilia ukweli wa mambo na huyo hakuwa fundi ila muendesha Jumbo, RIP Dick Kadelema. Fundi alikuwa Joel(RIP)Native son unaonekana upo karibu kabisa na kikosi cha ERT kilichofanya shughuli ya uokozi..huyo alikuwa ni Dick Kadelema(RIP) fundi wa Jumbo.Kwa ss wapo njiani kwnda kupumzishwa kwenye nyumba yao ya Milele!!
Poleni wafiwa. Ajari za underground mine zipo sehemu nyingi. Nafikiri Barrick inabidi wafanyie kazi upya usalama mzima wa mgodi. Kama kuna blasting zinazofanyika underground kuna uwezekano mkubwa wa kutengeneza weak structures. Hili linaweza kuepukwa kama mara kwa mara ukaguzi wa kina unafanywa kujua hali halisi ya structures zao ikoje.