Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Angalia slide No 2 http://edition.cnn.com/2010/US/03/22/georgia.mystery.monument/index.html
0 Reactions
0 Replies
1K Views
john mashaka aibuka, safari hii kwa kimatumbi... UCHAFUZI WA MAZINGIRA NORTH MARA Ndugu zangu watanzania, kila binadamua ameumbwa na haki sawa. Tumeumbwa kupendana na kuishi kwa furaha na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I have mixed feelings on the fact that the CITES has refused to allow Tanzania to sell stockpiles of ivory, saying that the source of the stockpiles is unknown. On one hand I feel bad whenever...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwisho wa wiki iliyopita nilisafiri nje ya Dar na kwenda vijijini huko Korogwe, kuna mahali tulifika nikajisikia kula muwa. Basi tulisimama barabarani karibu na daraja moja la mto Rwengela kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
POLEN SANA ILA MNGEANZA KUSAFISHANA KWANZA KABLA YA MGOMO MCHAWI YUMO HUMO HUMO NDANI Wakati chama cha wafanyakazi kikipanga mgomo na kukataa uwakilishi wa serikali siku ya mei mossi...napenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KISA 1. Ada juu 2. Matokeo hawajatoa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hakika napenda kuamini sasa hawa maplisi wana ubia na hawa majambazi wanaoiba kwenye ma bank na kwa wafanyabiashara kila siku swala hili limeesemwa leo na kada mmoja wa CCM pale alipokuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati rais we tanzania J.M.KIKWETE ameseme watanzania bila malaria inawezekana....wimbo wa mwaka huu kwa upande wa ma miss ""MISS TANZANIA BILA MAPREDESHE INAWEZEKANA"" Mwenyekiti wa mashindano...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani wakubwa, niliuwa na swali naomba kuuliza mnisaidie humu ndani, najua humu kuna wanasheria, ma estate agents, na watu wengine wengi wenye uzoefu tofautitofauti. NIFANYEJE ILI...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Si kweli! Kuna siku nimewahi kuandika kwamba kuna usemi mmoja wa kingereza unaosema: “Someone is better than no one” Kwa maana kwamba wapo watu ambao (hasa wanawake wale ambao wanaona muda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali wilayani Kisarawe, imempongeza mwekezaji wa zao la Jatropha wilayani humo, kampuni ya Sun Biofuel ya Uingereza, kwa kazi nzuri inayofanya wilayani Kisarawe na wakati huo huo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aibu Kubwa Baada ya Moto Kuzuka Kwenye Danguro...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Siku za hivi karibuni makampuni ya simu yamekuwa yakisimika karibu kila mahali minara yao ya mawasiliano ili kufanya mawasiliano yawe rahisi na ya uhakika. Mitaani kumejaa minara, pembezoni mwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
From PETER TEMBA in Moshi, 21st March 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 92 PRELIMINARY hearing of a criminal case faced by two senior officials with Moshi Urban Water Supply and Sewerage...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By DAILY NEWS Reporter, 19th March 2010 @ 22:00, Total Comments: 1, Hits: 297 PRIME Minister Mizengo Pinda has rubbished opposition to genetically engineered foods, commonly known as GMO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Table of Contents Acknowledgements Chapter 1: The Introduction Chapter 2: Owner’s Manual for Human Beings Chapter 3: Self-Awareness and the Daily Affirmation Chapter 4: “To Thine Own Self Be...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mnigeria Afariki Kwa Njaa Uswizi Akigoma Kurudishwa Kwao...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Heshima mbele wanajamii Ebwana natambua kunawadau wengi humu wapo nje ya nchi ( outside Tanzania) aidha kwa muda mrefu ama kwa kipindi tu. Wakuu naomba kufaham cheap internal calls method...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mswada wa afya uliokuwa unajadiliwa nchini Marekani Kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja sasa umepitishwa na Baraza tayari kusainiwa na Raisi Obama. Kwa wafuatiliaji wa siasa mjadala wake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati rais akikata awimbi kuelekea namibia wakazi wa kipawa wanazidi kuendelea kuakatwa mapanga huku si mkuu wa mkoa wala wa wilaya anaeliongelea;hakika inasikitisha pale watu wanapoamishwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom