Kwa yeyote mwenye taarifa, au mwenye uwezo wa kutusaidia, asubuhi ya leo, Jumapili, Oktoba 3, 2010, kwenye eneo la maegesho ya magari nje ya Kigango cha Mt. Thomas Moore, Ally Sykes Close, Mbezi...
Kuna habari zimetangazwa na Redio one kuwa Jengo la Quality Plaza (nyerere Road) linaungua, kwa wale waloko eneo la tukio tunaomba mtuhabarishe.
Mod Naomba uihamishe hii baada ya 2 hours
Toleo la leo ukurasa wa nne (Editorial/Analysis) wamekomalia tena suala ya mke wa Dr.Slaa kupitia Correspondent Msemakweli Sadiki(nadhani hii ni alias)....papa nae katuhumiwa pia....nachoka na...
Leo nimemkumbuka sana Braza Ukiwaona Ditopile Mwinshehe wa Mzuzuri....laiti angekuwepo wakati huu wa kampeni...tungepata burdani sana....sio hizi kamba na vinana
Msaidizi wa askofu, RC wakemea udini.
Monday, 04 October 2010 06:34
Na Waandishi Wetu, Bukoba
ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya Watanzania kuwachagua wawakilishi wao kuanzia ngazi ya...
Zebra Finch...
Patterned feathers, previously thought to be used only for camouflage in birds, can play an important role in attracting a mate and fending off rivals, a University of Melbourne...
Jamani tuwe makini hii rushwa tunayo ipewa huku mijini tuurumie na wakazi wa mkalama moshi- hai ambao wanateswa na muwekezaji ambaye alidiriki kuwafungia daraja lao la kuvuka ambao ndiyo...
Leo katika kipindi cha power breakfast kinachorushwa na redio ya clouds walimualika meneja wa mawasiliano wa bandari ndugu Mzirai ili kuongelea suala la magari yanayokwepa kodi kwa njia ya...
wadau habari za leo
nna shida ya kutaka kufahamu kuhusu namna TRA wanavocharge ushuru wa magari toka japan hasa yale yaliyozidi miaka kumi tangu tengenezwe yaani uchakavu unachajiwaje,kuna fomula...
wenzangu ninatafuta suluhisho.
sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.
kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari...
*Ofisi ya Mwanasheria wa PPF na Mkurugenzi zavunjwa
*Nyaraka za siri zadaiwa kuibwa
Baadhi ya wafanyakazi wa jengo la PPF lililopo barabara ya Morogoro na Samora wakiwa nje ya jengo hilo leo...
Kumetokea mauaji ya Kiongozi wa Walinzi katika jengo la PPF House Samora. Mauaji haya yanakisiwa kutokea usiku wa kuamkia leo J3. Hakuna taarifa za kuaminika juu ya kusudio na wahusika wa mauaji...
Swali langu kwa wana jf wajuvi wa sheria ni kwamba sheria ya ndoa inatambua wahusika wawili tu, na kama endapo mmoja atakiuka mfano kwenda nje ya ndoa au kumkataa mwenzie bila sababu za kimsingi...
Tunasikitika kutangaza kifo cha Mchungaji Matiku Thomas Nyitambi kilichotokea leo huko Tarime musoma kwa ajali ya gari .Marehemu alikuwa anasafiri na Mkewe ambaye amepata majerahaa
'' Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.