Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

BAADHI ya wafanyakazi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, wamesema wamekuwa wakifanya kazi lakini wakiwa wanaendesha mgomo baridi unaotokana na matatizo mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
POLISI mkoani Tabora, wamewaua watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya SMG, magazine tano, risasi 165 na bomu la kutupa kwa mkono. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAKATI kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi zikiendelea, mgombea ubunge wa Jimbo la Tandahimba ana mpango wa kufungua kesi tofauti; kumshtaki kamanda wa polisi wa mkoa kutokana na askari wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu 47 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi sugu waliokamatwa baada ya msako mkali uliofanikisha kukamatwa kwa magari 12 ya wizi, pikipiki...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
KATIKA kuhakikisha fedha za mfuko wa maendeleo ya jamii zinafanya kazi zilizokusudiwa kwa ajili ya ustawi wa nchi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Uhusiano wa Jamii na Uratibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Mathias Chikawe ameishukia Sekretarieti ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, akidai imeshindwa kutumia mamlaka iliyonayo kuwabana vigogo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutokana na hali ya mambo ilivyo hapa nchini na haja ya kuongeza kasi yetu ya maendeleo kwa wananchi wa nchi hii, napendekeza tuyakabidhi Majeshi yetu, chini ya uongozi wa JWTZ, majukumu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu tangu zamani nilikuwa na ndoto ya kuanzisha kituo cha redio kwa ajili ya vijana wenzangu ili waweze kusikika, naona sasa ni muda muafaka wa kufanya hii kitu. Naombeni mtu yeyote mwenye...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
ARUSHA PRESS CLUB (APC) P.O BOX 6011 ARUSHA, TANZANIA TEL; 0713-231752 / 0754-299861 Email;arushapressclub@gmail.com TAMKO LA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA ARUSHA...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hali ya Vifaa katika Hospitali yetu ya Muhimbili inasikitisha sana na ninachelea kukubali kuwa inastahili kuitwa Hospitali ya Taifa. Hivi inaingia akilini kweli kwa Hospitali ya Muhimbili kuwa na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mkurugenzi akanusha vigogo kupewa viwanja Arusha Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 3rd December 2010 MKURUGENZI wa Halmashauri ya Arusha, Wilayani Arumeru, Halifa Hida, ametoa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkurugenzi Muhimbili azomewa mbele ya waziri na Mariam Mtikita KAIMU Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
MAALIM SEIF: Uchaguzi wa Zanzibar ulikua safi hauna GHILBA Ndio huu ndio ukweli usionashaka kwa Watanzania kuambiwa ukweli na kuacha zile zama za Kina Chadema kukataa Ukweli hali ya kuwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Taarifa za hivi karibuni zilizochapishwa na mtandao wa Wikileaks, zinamnukuu mwendesha mashataka mmoja kutoka Uhispania akisema kuwa serikali ya Urusi inaendeshwa na genge la mafia. Jaji Jose...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na Athman Hamza, jijini. WAKATI fukuto la tishio la mgomo wa daladala jijini Dar es salaam likiwa bado halijapoa, Chama cha Madereva na Makondakta wa Daladala jijini (UWAMADAR) kimewageukia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MWALIMU Mkuu wa Shule ya Sekondari St Thamos More Muchrine, Costantine Kirwanda (35) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kwa tuhuma za kumdhalilisha mwanafunzi wake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
*Wauaji mbaroni Na Waandishi Wetu, jijini UMATI wa watu jana ulishuhudia mwili wa Mohamed Ramadhani (30), aliyeuawa kinyama kisha kutupwa ****** kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DEREVA teksi aliyefahamika kwa jina la Nicolaus Mwaikambo(25) mkazi wa Kinyanambo mjini Mafinga ameuawa na watu wasio julikana usiku wa kuamkia jana kwa kupigwa kwa kitu kinachodaiwa kuwa ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watatu waliowahi kuwa wanajeshi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za ujambazi wa kutumia silaha sambamba na watuhumiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SHULE ya kimataifa ya Soutthern Highland Mufindi na Brokebond zafanya vizuri mtihani wa taifa wa darasa la saba mwaka 2010 katika mkoa wa Iringa na kuzipita kwa mbali shule za msingi...
0 Reactions
0 Replies
55K Views
Back
Top Bottom