Amongst us there are misguided opportunists who swear and wear the nationalism uniform and pretend to be nationalists, but in reality they are using the uniform to hide and mask their true...
Yes Mchungaji knows how to curse and can drop an F bomb in a second and all will be blessed.
Yes I tell it to all the investors who are expoliting Tanzania and look for concesions, free tax...
Mheshimiwa Rais Kikwete,
Leo hii nakuja na ushauri kwako, tena ukiamua kukaa chini na kutafakari, yawezekana ukaleta mabadiliko makubwa sana ya kuifanya Tanzania iwe fanisi na kupiga hatua...
Naam, nami nikapewa maono ya hatima ya Taifa letu katika njozi.
Tanzania itaruhusu Uraia wa zaidi ya nchi moja, maarufu kama Uduo mwaka huu 2010 kabla ya uchaguzi mkuu.
Kutakuwa na Serikali ya...
Wakubwa salaam,
Ninawaletea hotuba yangu jimboni Kigoma. Asante
HOTUBA YA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA CHADEMA UCHAGUZI JIMBO LA...
Wana JF,
Ninaomba kuwashirikisha katika makala yangu hii kuhusiana na hali ya nchi yetu. Nimeandika kufuatia kauli ya Chiligati kuwa nchi ipo shwari na nini nimeona katika Mkoa wa Kwanza wa...
Baada ya kupitia kanuni za Bunge letu kama nilivyoambatanisha, mimi kama Mtanzania naomba kutoa tamko na ombi kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wawasilishe muswaada...
Edward Lowassa is very ambitious man. He is believed to be very industrious.
However, he has been very pushy, arrogant and seeks power at any cost. He behaves like a monster, walking like a...
Ewe Mtanzania,
Chukua muda utafakari unachokisoma hapa, chambua kwa undani ndani ya roho yako ujilize machungu unayoyapata kwa KUSALITIWA na hawa wafuatao ambao ni wawakilishi wako katika...
Our annual revenues out of mining sector (Diamond, Gold, Tanzanite, etc) which contibutes to national GDPis 1.9%!
This was declared recently to Taifa.
So I wonder when Ashanti, Barrick...
Mzee Kikumbi Mwanza Mpango, maarufu kama King Kiki, ana wimbo wake mmoja maarufu ambao anaimba "fungua njia, kitoto chaanza Tambaa"!
Mchungaji anakuomba Mtanzania fungua moyo na njia, Kitoto...
Pamoja na tofauti zetu na mvutano wa hoja tunazojenga kila siku, tunakoelekea ni kwema na kwenye tumaini.
Ndiyo, bado hatujaweza kuwa na uwakilishi mzuri, lakini kwa udogo wetu, tunajifunza...
Unapotafakari hatima ya Taifa letu na mwelekeo wake, kuna jambo ambalo linaongoza na kutawala mawazo na kauli zetu, suala la Uongozi Bora na Siasa Safi kama tulivyoapa katika Azimio la Arusha...
Jana nimejiuliza sana kwa nini Tanzania tunahangaika na ukosefu wa umeme kila mwaka na hata kuzorotesha uchumi n kukua kwa maendeleo? nikajiuliza ni mvua, mabwawa au mitambo? Nikapata tamati kuwa...
Wanabodi,
Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!
Je hii haiwezeki...
Ndiyo Mchungaji kakulia kwenye Ujamaa, kalewa mvinyo wa Nyerere na Azimio la Arusha, anapenda haki sawa kwa wananchi.
Lakini leo Mchungaji anasema "Ubepari" ndio suluhisho la matatizo yetu...
Yaweza kutokea kwetu?
Twaweza kumwambia JK avunje serikali kama haturidhiki?
===
OTTAWA Canada’s parliamentary opposition reacted with outrage on Thursday after Prime Minister Stephen Harper...
This is a best story coming out of Tarime. Nimeonelea nianzishe maada si kuongelea Uchaguzi wa Tarme bali ni kuhusu CCM, Dola na Wananchi.
Nakumbuka enzi za enzi tulikuwa tunavisha Mbwa jezi za...
Yeah, hata mimi nina imani na kudumu kwa kijiwe hiki cha udaku na rumours. Lakini let us be honest with ourselves, this is just a frickin' message board let us not make it like some Lenin Square...
Baada ya kutupiwa changa kwa hotuba mbofumbofu iliyofanywa na Muungwana wiki iliyopita, wengi wameona kuwa vita imefika ukingoni na tayari kusalimu amri.
Ukweli ni kuwa tulifanya kosa moja kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.