Kwa wale wapenzi wa Mixed Martial Arts, mtaelewa nikisema mtu kawekwa kwenye submission possition.
Ina maana mikono, miguu, shingo, tumbo na mwili mzima umekabwa kabali na huwezi kujinasua na...
Mikataba mingi ya Tanzania ina kifungu kinachosema mkataba ni siri na ukianikwa hadharani ni kosa la jinai. Kwa mantiki hiyo, Tanzania imeendelea kuingia hasara kutokana na mikataba mingi ya ndani...
Nimeona ni vyema kuanzisha mada hii kwa ajili ya haya yaliyojiri bungeni kuhusu Afisa mtendaji mkuu wa TANROADS,Epharaim Mrema ilipostiwa mahali ambako nadhani isingepata attention inayostahili...
Kwa miaka karibu 20, Tanzania imekuwa katika mchakato wa siasa za vyama vingi. Katika miaka hii 20, damu imemwagika, dhuluma imetokea, uonevu na unyanyasaji umeendelezwa, kauli za kudai haki na...
Kama kuna nafasi nzuri sana ya Chadema kuendeleza kuvuma na "mvuto" wao ni kwa sasa hivi wanapowasusia CCM na Kikwete kuleta msukumo wa nguvu sana kuleta mabadiliko ya Katiba na hata sheria za...
Is it possible out of excitement of Wabunge and Madiwani that Chadema loosened its focus to make sure that all presidential votes were counted and secured?
Instead of Mguu Sawa, they all became...
Ndugu zangu,
Isharaha ya Uzalendo wetu iwe ni KULIPA KODI YA MAPATO... na kila asiyelipa kodi tumwone kama si mwenzetu regardless ya cheo chake.
There must not be a zero rate kwenye kodi ya...
Profesa Haruna Ngunguri Lipumba,
Nakuandikia waraka huu wa kiuchungaji ilhali najua marafiki zangu wa CUF watacharuka na kudai naingiia mambo ya ndani.
Leo hii nimewaandikia Chadema...
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Sikuulewa kwa kina maana ya msemo huu wa wahenga kwa muda mrefu, kwani nilitatizwa na ukweli kuwa nyani ni mnyama aliyebobea katika sayansi na sanaa ya...
Nimekaa chini na kujiulizahivi Kikwete anafanya kazi kwa manufaa ya nani?
Kabla ya uchaguzi na hata kesho hii kuna Wakisto wengi wanaoamini kwa nguvu kubwa kuwa Kikwete yupo pale Ikulu...
Duh, Mwaka huu Watanzania watakogwa na kudanganywa hata kwa vitu ambavyo hauhitaji ujuzi mkubwa kung'amua ni upupu.
Mr. President,
We did not need you to travel 10 times to USA at a cost of US...
I guess we have continued to breed a class of "tupotupo" leaders. How can you give such statement which sound as an official statement?
Last week, China played with the interest rates of its...
What I'm about to say will be very unpopular among JF members especially those expecting change in this years elections. We have become like a young basketball player who is excited about the...
It is interesting to hear the silence and vaccum of voices of those who were once at realm of leading Tanzania.
Not to say or demand they should take a side like what is being suggested now...
Paukwa......Pakawa... The house of cards crumbling!
Inafurahisha kuona ni jinsi gani mwamko uliotufikia Watanzani tangu kina Jeetu Patel, Johnson Lukaza na hata sasa Basil Pesambili Mramba na...
April 08, 2010
Jim Sinclair to Host Tanzanian Trip in September
Dear Friends,
I have received numerous expressions of interest from shareholders and other interested parties in regards to a...
Mzee Mwanakijiji,
Kama kuna kituko cha Kisiasa na Uchanga (ndio natumia herufi kubwa kama msisitizo) ambacho kimetokea Tanzania na mchakato wa Siasa, ni vuguvugu la kuanzishwa kwa CCJ na...
Amongst us there are misguided opportunists who swear and wear the nationalism uniform and pretend to be nationalists, but in reality they are using the uniform to hide and mask their true...
Yes Mchungaji knows how to curse and can drop an F bomb in a second and all will be blessed.
Yes I tell it to all the investors who are expoliting Tanzania and look for concesions, free tax...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.