Nani anakwambia tunaendelea?
Huyo anaetakiwa kusema amekua akitoa vigezo gani? Kuongezeka kwa pato la taifa kwa kiasi gani ukilinganisha na miaka iliyopita? Anatuambia kweli? Nini mauzo ya bidhaa...
What is this with Tanzania power projects where the government is always looking for the 100mw or below to supply power?
When you look at the power crisis facing Tanzania and examine all projects...
Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!
Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!
Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu...
Mr. President,
I would like to offer my congratulations for your victory to lead Tanzania for the second term.
I know this year elections were not piece of cake to your party CCM and its...
Kuna Wawakilishi na Wabunge ambao wamekuwa wakitoa lugha ya kuonesha kuchoshwa na Muungano na bila ya shaka wanazo sababu ambazo wanaamini zinawapa haki ya kutoa hisia hizo. Lakini wapo wengine...
Na. M. M. Mwanakijiji
Utangulizi
Tatizo la upungufu wa nishati nchini linatafutiwa kisingizio. Naam, limetafutiwa kisingizio na kisingizio hicho kinazidi kukuzwa mbele ya macho yetu na kufanywa...
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE
Na. M. M. Mwanakijiji
Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa...
You know what, I think this guy will be fit to be the President of Tanzania. He is a savvy, efficient and cunning! If he is the brain wizard who lifted CCM to where it is today by being teh force...
Hii ni sehemu ya hansard ya siku ya Julai 15, 2001 (Ijumaa iliyopita) ambapo Zitto alipata nafasi ya kutoa mchango kwenye mapendekezo ya bajeti ya Nishati na Madini. Amezungumzia kwa kirefu kuhusu...
Kuna dadangu mdogo mmoja anataka kuja kusomea mambo hayo ya forensics (nadhani amekuwa kiangalia CSI na NCSI too much) na sasa anataka kujifunza mambo hayo ili kusaidia katika mambo ya kupambana...
It is time for Mr. Rostam Aziz to resign. It is time for him to call quit all his political posts within the ruling party including resigning as the current MP for Igunga. I for one have had...
Wakati tunagombania ulaji wa Vitambulisho vya Taifa, ni lazima tuwe wakweli tujiulize huu uharaka wa kukamilisha hili zoezi, huku ukweli ni kuwa ni asilimia 25 (25%) au juu kidogo ndio watakuwa na...
Kuna kitu nimejaribu kukufanyia utafiti mdogo kwa ajili ya hoja yangu ambayo itaonesha kuwa tatizo la umeme Tanzania linahusiana na CCM hasa baada ya Rais Mwinyi, likaendelezwa na CCM chini ya...
For a political party to be successful it needs to position itself to assume power. For this reason it requires what I would call as the Triangle of Political Victory. In this triangle there are...
Nimekubali, kama ilivyovigumu kwa Ufisadi kuondoka Tanzania kutokana na mfumo wake kuingilia jamii ya Tanzania na kukubalika kuwa ni kitu cha kawaida, ndivyo jinsi CCM ilivyo kwa Watanzania, mtaji...
Mojawapo ya hoja ambazo hatuzikii mara nyingi kwa wale ambao wanambebesha Nyerere lawama na mzigo wa taifa letu kuwa ni yeye ndiye aliyelivuruga ni kuwa Nyerere alipokea taifa lenye hali gani ile...
One has to respond to his majesty, President Jakaya Kikwete on his speech to the participants of Elekezi seminar!
You have asked your appointees to travel the country and get the feel of what...
Your excellency President Kikwete,
I beg to differ with you Sir on your statement during May Day celebrations that we need more investements as a way of improving our living conditions.
What...
What makes us Tanzanians?
Is it the certificate?
Is it because of our parents citizenship?
Is it the language we speak or the color of our skin?
Are we barely inhabitants or actually...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.