The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Kumfahamu mtu yeyote ni lazima utazame historia yake ya utotoni aliosoma nao, aliocheza nao... walimu wake... walezi wake, majirani na kadhalika...
Sasa sisi Tanzania ni nadra sana kusikia historia za utotoni za viongozi wetu kiasi kwamba maambo meengi tunayoyalalamikia pengine majibu yake yapo kwenye historia zao za utotoni...
Mfano:
Utotoni mtu alikuwaje na wenzie? Mbinafsi? Mchoyo?
Mpira alicheza vipi na wenzie? Aliwahi kuwa refa? Kuwa nahodha? Au alikuwa 'anafuata mkumbo tu'?
Je, ndani ya familia wazazi waliwalea vipi?
Chakula kilitosha? Kama hakikutosha ilikuwaje? Alijipigania chakula chake?alikificha? Mama alimfichia chakula chake? Aliwaacha wadogo zake washibe kwanza? Au alikula yeye kwanza?
Na je kwa wenzake shuleni alikuwaje? A bully? A natural leader? The peacemaker? Au mchonganishi?
Alikubali kushindwa kihalali? Au ilikuwa lazima ashinde by any means necessary?..
Kuna meengi mno ya kujifunza kama tukijua historia za utotoni za hawa watu wanaojiona ni viongozi wetu na wote wale ambao wanataka kuongoza....
Sijui kwa nini hatuna waandishi wa kuchimbua historia za utotoni za hawa watu...
Sasa sisi Tanzania ni nadra sana kusikia historia za utotoni za viongozi wetu kiasi kwamba maambo meengi tunayoyalalamikia pengine majibu yake yapo kwenye historia zao za utotoni...
Mfano:
Utotoni mtu alikuwaje na wenzie? Mbinafsi? Mchoyo?
Mpira alicheza vipi na wenzie? Aliwahi kuwa refa? Kuwa nahodha? Au alikuwa 'anafuata mkumbo tu'?
Je, ndani ya familia wazazi waliwalea vipi?
Chakula kilitosha? Kama hakikutosha ilikuwaje? Alijipigania chakula chake?alikificha? Mama alimfichia chakula chake? Aliwaacha wadogo zake washibe kwanza? Au alikula yeye kwanza?
Na je kwa wenzake shuleni alikuwaje? A bully? A natural leader? The peacemaker? Au mchonganishi?
Alikubali kushindwa kihalali? Au ilikuwa lazima ashinde by any means necessary?..
Kuna meengi mno ya kujifunza kama tukijua historia za utotoni za hawa watu wanaojiona ni viongozi wetu na wote wale ambao wanataka kuongoza....
Sijui kwa nini hatuna waandishi wa kuchimbua historia za utotoni za hawa watu...